Swali kwa waliokomaa kwenye mapenzi

Swali kwa waliokomaa kwenye mapenzi

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,898
Hili ni swali la watu waliokomaa kinapenzi na wenye experience na wenye ndoa. Kama haupo kwenye Hayo niliyotaja usijibu

Hivi ni Kwa nini utakuta mwanamke amesoma ana kazi nzuri na anaheshimika sana anakuwa na mume ambaye hajiheshimu na Huyu Mke wake anatumia kila jinsi kumtetea na kupenda Mume wake.

Ni kwa nini mwanamke anajiweza ila Mume ndio player. Mfano mkubwa ni Bill Clinton alikuwa restaurant mkewe Hillary akatokea ghafla bill cliton akajifanya hamtambui au hajamwona. Kwa nini Hillary hajali kudhaliliwa kutwa. Why?

C2B8316D-F832-479C-BD66-E20370023395.jpeg 2F019C05-A775-4B09-9D75-482EE1964EE6.jpeg 6E53E73E-6CE3-4A9B-B545-543D49B14B4F.jpeg 73536CD7-4323-499C-BAE2-3861B9A2050D.jpeg
 
Hoja yako Haina uzito wowote Wala haijaeleweka
 
Yaani kati couples takribani bilioni duniani, ndio uje kutoa mfano kwa hii moja kuwa serious kidogo.?

Mbona wapo wengi tu akiona mwenzie anataka kusumbua mamlaka ya ubongo anapiga chini.
 
Kwa nini mtu anakuwa na mtu anae cheat na kumdhalilisha
Huo ni uzwazwa a.k.a utahira kiwango cha SGR, mtu anayekudhalilisha ni moja kwa moja hakupendi sasa kwanini umvumilie!!
 
Nature decide for us,mwanaume husband material huangukia kwa mwanamke shangingi na mwanamke wife material huangukiwa kwa player na wote hao hawawezi kuachana hata siku moja.
Ikitokea wote ni wife and husband material nature select mmoja atakufa mapema ili mmoja ateseke tu😁😁😁

Maisha kwenye earth planet tumechezwa ni mateso tu kwenda mbele...let us hope our generation will escape the planet earth and live somewhere with no this curse
 
Mapenzi na mahusiano yanahusisha zaidi saikolojia ya muhusika kuliko uhalisia.

Kuna uwoga wa kisaikolojia ambao baadhi yetu tunao kwenye mahusiano 'kuhofia kudate na mtu ambae unahisi hutoweza kumcontrol kutokana na status yake, ukipatwa na hii hofu automatically utatafuta mtu mwenye low profile ukiamini hato kusumbuwa, binti mzuri msomi ila kaamua kuolewa na lofa kisaikolojia huamini yuko sehem sahihi kwa kupata upendo,heshima na utulivu.

Kwa tukio la Crinton iko hivi!
Wanawake wengi wanaamini mwanaume mwenye nguvu ya pesa au madaraka anaweza kufanya chochote muda wowote hata (kuchepuka) na asijali kama kafanya jambo baya.
So wanawake walioolewa na wanaume wa aina hii huenjoy life kwa status za waume zao ila wanaamini katika kusalitiwa na hao waume zao, hii hupelekea baadhi ya matukio yanayo ashiria usaliti au vinginevyo huwa hawaoneshi kujali sana.
 
Nature decide for us,mwanaume husband material huangukia kwa mwanamke shangingi na mwanamke wife material huangukiwa kwa player na wote hao hawawezi kuachana hata siku moja.
Ikitokea wote ni wife and husband material nature select mmoja atakufa mapema ili mmoja ateseke tu

Maisha kwenye earth planet tumechezwa ni mateso tu kwenda mbele...let us hope our generation will escape the planet earth and live somewhere with no this curse
Mbona Obama na mkewe wanapenda htr na wote Ni htr
 
Back
Top Bottom