1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,802
- 10,290
Shenzi kabisa ww
Kabla ya jazba ungeuliza kwanza sifa ninazosema kwamba baadhi ya walimu wamezikosa. Huo ndio ustarabu na uungwana.Na utakua ni mtu wa ajabu kama hujui kuwa kuna walimu wengi hawana sifa.
Vinginevyo utakua umenipa sifa kwa kuniita kuwa mimi ni mshenzi kabisa.
Eee , mana hauna namna nyingine ya kujenga hoja zaidi ya kutoa sifa.
Mana wote lazima tukubaliane kuwa neno mshenzi wakati mwingine linatumika kama sifa.
70% ya wafanyakazi wote wa umma ni walimu .Kama 50% kati yao wangekua washenzi kabisa nadhani mwajiri wao angenyooka na kutoa kipao mbele kwa hili kundi kubwa na la muhimu kwenye jamii.