Walimu wengi hawana sifa ndio maana wanatishiwa nyau na kujiona kama vile watu waliopewa ajira kama favour tu. Ni walimu wachache sana wanaojitambua.
Walimu wengi hawana sifa ndio maana wanatishiwa nyau na kujiona kama vile watu waliopewa ajira kama favour tu. Ni walimu wachache sana wanaojitambua.
Ikiwa tsh milioni 10 ni hela ya MBOGA kwa TIBAIJUKA,
Je mshahara wa mwalimu kwa mwezi, Tibaijuka angeweza kununua nini?
Tiririka mwalimu
ili uone kama upo sehemu sahihi.
Mkuu angalia lugha ya kutumia usijekula ban bure.
rafiki, walimu wengi wanazo sifa, sasa tatizo la walimu wengi ni waoga, hawajui stahili zao, na hata wakijua uoga unawaathiri.....na kujaribu hawawezi....Shenzi kabisa ww
Angalia post yako hapo juu nani kakujibu,
mimi nilikuwa natoa tahadhari tu kwako.
suala la kutukanwa mimi nilishazoea ko tukana unavyoweza.