Swali kwa wadada walio single


umeonaaaaaa! wanawake wa humu fekeroooooooooo! wachunaji kichizi!
 
Unamaanisha nini mkuu?

Maana yangu ni kwamba hakuna boflo ngumu mbele ya chai...

Mwanaume anaweza kumtongoza mwanamke wa hadhi yoyote maadam kazingatia vigezo vya sanaa ya utongozaji...
 
Maana yangu ni kwamba hakuna boflo ngumu mbele ya chai...

Mwanaume anaweza kumtongoza mwanamke wa hadhi yoyote maadam kazingatia vigezo vya sanaa ya utongozaji...

Hili linawezekana kama ni kutafuna na kusepa

Huyu jamaa nadhani anazungumzia ndoa au mahusiano serious ....!!!!!!!!

Au sijaelewa???

mwenye kipato cha chini ya hapo wala asijisumbue kukufuata kutangaza nia??
 
Hili linawezekana kama ni kutafuna na kusepa

Huyu jamaa nadhani anazungumzia ndoa au mahusiano serious ....!!!!!!!!

Either way mwanamke yoyote unaweza kumpata...

Si wanawake wote hutazama ya mwilini, wengi wenye kutafuta furaha ya mahusiano hutazama ya moyoni.
 
bottom line is men are so daaammn insecure!!!


babu eeee hebu jengeni kujiamini


acha kipato tu mwanamke akikupita height tu baass ni tatizo!

au nimesema uongo??
 
bottom line is men are so daaammn insecure!!!


babu eeee hebu jengeni kujiamini


acha kipato tu mwanamke akikupita height tu baass ni tatizo!

au nimesema uongo??

uongo some of us like tall laies na pia kumlala mwanamke mwenye kipata zaidi yangu
 
Either way mwanamke yoyote unaweza kumpata...

Si wanawake wote hutazama ya mwilini, wengi wenye kutafuta furaha ya mahusiano hutazama ya moyoni.

Huenda ukawa sahihi lakini hii bado ni kama hadithi kwa sababu bado hili halijanitokea na kikubwa zaidi sijaliona kwa yoyote !!
 
bottom line is men are so daaammn insecure!!!


babu eeee hebu jengeni kujiamini


acha kipato tu mwanamke akikupita height tu baass ni tatizo!

au nimesema uongo??

Huu ni uongo hata wewe unajua hilo .....!!!!!!!!
 

dunia nzima kha!!! uongo huu watu tuna mifano mingi tu! mtapiga miayo hadi kesho kwa mawazo yasiyo na tija
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…