Hawa majamaa ckuhzi wamekwisha kabisa.hawana ladha km awali.tangie waondoke wale watangazaji marufu km kina fredy godwin gondwe rahabu fungu
Nipeni frequency za RFA za Mkoa wa Katavi -Mpanda
mkuu ni 87.9.
we acha bwana RFA, ilikuwa ile ya miaka ya 95 , kina DEO KIDUDUYE, GABRIEL YOTA MWASASU, bwana na gazeti lao la msanii Afrika!! kanda ya ziwa ilikuwa balaaaa!!
Bila kumsahau
Roy Maganga
Barwan Mhuza
Baina Kamkulu
Maregesi Ngilishoni
Kid Bwayi
Samuel Kiama
Rahabu Fred
ROY MAGANGA kama sikosei ama sijasahau huyu atakuwa ameshatangulia mbele ya haki ni marehemu.
mkuu ni 87.9.
ROY MAGANGA kama sikosei ama sijasahau huyu atakuwa ameshatangulia mbele ya haki ni marehemu.