slowpancha
Senior Member
- Jul 27, 2014
- 184
- 102
Hawa majamaa ckuhzi wamekwisha kabisa.hawana ladha km awali.tangie waondoke wale watangazaji marufu km kina fredy godwin gondwe rahabu fungu
mbona hueleweki ww,kama hujui kitu kaa kimya
Hawa majamaa ckuhzi wamekwisha kabisa.hawana ladha km awali.tangie waondoke wale watangazaji marufu km kina fredy godwin gondwe rahabu fungu
Bila kumsahau
Roy Maganga
Barwan Mhuza
Baina Kamkulu
Maregesi Ngilishoni
Kid Bwayi
Samuel Kiama
Rahabu Fred
Asante sana
mkuu ni 87.9.
hizo ndizo frequency, za rfa katavi, kwani kuna kipindi nilikuwa hapo,nilikuwa naipata kwa 87.9 ila huwa inasumbua kweli, kupatikana, nadhani mitambo yao itakuwa na shida, kama unatumia zile radio za kutafuta kwa kuzungusha, jaribu kwenye sw, mw band. kwani masafa ya fm, wakati mwingine kama kuna kizuizi ni shida,Nime search Hamna kitu, labda imekata
Jamani wadau wa habari, mimi hiki kituo cha Radio Free Afrika kinanishangaza sana staili yake ya matangazo. Kila siku mawasiliano hayaeleweki.