Swali kwa pesa za nssf

LuCKNOVICH

Senior Member
Jan 22, 2011
104
11
Hello wana JF,
Je inawezekana kuchukua pesa kama hujaacha/kuachishwa kazi,kimsingi nahitaji ku invest hiyo pesa kuliko ikae huko bila interest yoyote.
Mwenye ufahamu please.
Naomba kuwakilisha.
 
Ninavyoelewa NSSF hauwezi kujitoa, na hauipati hiyo hela hata kama kukiacha/kuachishwa kazi ni mpaka ufikie umri wa kustaafu ndipo utaanza kupata malipo kwa mpango details zaidi zipo kwenye website yao.
Ungekuwa unaweza kujitoa ingepoteza maana yote ya NSSF, kwa sababu inategemea mchango wako kuwalipa wastaafu wa sasa na wewe ukistaafu utalipwa na mchango wa vizazi vijavyo (unless mpango mzima u-collapse huko mbeleni :A S-cry: ).
 
Mkuu mbna kuna jamaa tulikuwa tunafanya nao kazi wakaacha na baada ya miezi kadhaa walichukua chao NSSF.
Ninavyoelewa NSSF hauwezi kujitoa, na hauipati hiyo hela hata kama kukiacha/kuachishwa kazi ni mpaka ufikie umri wa kustaafu ndipo utaanza kupata malipo kwa mpango details zaidi zipo kwenye website yao.
Ungekuwa unaweza kujitoa ingepoteza maana yote ya NSSF, kwa sababu inategemea mchango wako kuwalipa wastaafu wa sasa na wewe ukistaafu utalipwa na mchango wa vizazi vijavyo (unless mpango mzima u-collapse huko mbeleni :A S-cry: ).
 
Ninavyoelewa NSSF hauwezi kujitoa, na hauipati hiyo hela hata kama kukiacha/kuachishwa kazi ni mpaka ufikie umri wa kustaafu ndipo utaanza kupata malipo kwa mpango details zaidi zipo kwenye website yao.
Ungekuwa unaweza kujitoa ingepoteza maana yote ya NSSF, kwa sababu inategemea mchango wako kuwalipa wastaafu wa sasa na wewe ukistaafu utalipwa na mchango wa vizazi vijavyo (unless mpango mzima u-collapse huko mbeleni :A S-cry: ).

Kang kama haujui ni bora unyamaze tu,ukiacha kazi either kwa kuresign au kustaafu(umri umefika) lazima upewe mpunga wako ndani ya miezi 6,cha msingi ni kupata barua ya kustaafu/termination letter kutoka kwenye kampuni then unaipeleka nssf ndani ya miezi 6 unakula mpunga wako wote!!
 
Kang kama haujui ni bora unyamaze tu,ukiacha kazi either kwa kuresign au kustaafu(umri umefika) lazima upewe mpunga wako ndani ya miezi 6,cha msingi ni kupata barua ya kustaafu/termination letter kutoka kwenye kampuni then unaipeleka nssf ndani ya miezi 6 unakula mpunga wako wote!!

Edit: Wewe ndo hujui, soma sheria nimeiweka chini, PYUMBAVVVV...
 
Nimeuliza kwa sababu kuna jamaa yangu tulikuwa tunafanya nae aka shift kampuni,kaenda leo kwa maelezo yake amesema kunauwezekano wa kupata pesa,then ataendelea na contribution .
 
Jifunze kusoma! Nimesema ninavyoelewa.

Haya sio maoni utoe jinsi unavyoona wewe,bali ni kutoa jibu sahihi lisilo na shaka,Swali lake jibu ni ndio unaweza kutoa pesa basii haliitaji kuanza kusema unavyoona wewe,jifunze bro au umesahau maswali ya history? Discuss/Explain/Describe?
 
Haya sio maoni utoe jinsi unavyoona wewe,bali ni kutoa jibu sahihi lisilo na shaka,Swali lake jibu ni ndio unaweza kutoa pesa basii haliitaji kuanza kusema unavyoona wewe,jifunze bro au umesahau maswali ya history? Discuss/Explain/Describe?

Unajua haya mambo yenu ya oohh rafiki yangu kafanya hivi ohh huyu kafanya vile ndo yanawaponza!

Narudia tena hauwezi kupta hela yako kabla ya kufikia unri wa kustaafu!! kuna exceptions chache kama ajali kazini au ulemavu.

Nenda Overview kadownload sheria iliyounda NSSF.

najua Watanzania hawana mazoea ya kusoma ngoja kikuwekee vipande muhimu

The following classes of benefits are payable under this Act, namely –
a. retirement pension
b. invalidity pension
c. survivors pension
d. funeral grants
e. maternity benefit
f. employment injury benefit; and
g. health insurance benefit

Hizo ndo category za benefits wanazolipa, hakuna "Nimeacha kazi, nataka changu!" Pia angalia

23. Subject to the provisions of this Act retirement pension shall be payable to an insured person who-


(a) has attained pensionable age; and
(b) in respect of when not less than 180 monthly
contributions have been paid.

Kwa kifupi hauwezi kulipwa UNLESS umefikia umri wa kustaafu!



Haya ni mambo ya common sense jamani, kama kila mtu anaweza kutoa hela yake wakati wowote anapojisikia Social Security itafanyaje kazi??
 
Kunautaratibu unaotumika ili kuchukuwa fedha zako,hao wanaolazimisha mawazo yao yawe fainal hawana uhakika wa wanachokiandika.Mtu ukiwa unakwenda masomoni unapeleka admission form pamoja na barua yakuacha kazi ndani ya mwezi utakuwa umeipata,kwa kuacha au kufukuzwa kazi utaratibu wa miezi 6 unatumika kama mdau mmoja hapa alivyoeleza.Jamani masuala ya msingi usiingize mtazamo au fununu bali uhakika ni muhimu mimi ninawatu kibao ninao wafahamu kwa utaratibu huu wamepata chao nawala si kwa rushwa.
 
Kunautaratibu unaotumika ili kuchukuwa fedha zako,hao wanaolazimisha mawazo yao yawe fainal hawana uhakika wa wanachokiandika.Mtu ukiwa unakwenda masomoni unapeleka admission form pamoja na barua yakuacha kazi ndani ya mwezi utakuwa umeipata,kwa kuacha au kufukuzwa kazi utaratibu wa miezi 6 unatumika kama mdau mmoja hapa alivyoeleza.Jamani masuala ya msingi usiingize mtazamo au fununu bali uhakika ni muhimu mimi ninawatu kibao ninao wafahamu kwa utaratibu huu wamepata chao nawala si kwa rushwa.

Kweli mkuu inategemea wewe tu kama unataka kuendeleza ile michango lakini kama umeacha kazi na umri wa kustaafu bado barua ya kuacha/kuachishwa inakufanya uchukue pesa yako.
 
Unajua haya mambo yenu ya oohh rafiki yangu kafanya hivi ohh huyu kafanya vile ndo yanawaponza!

Narudia tena hauwezi kupta hela yako kabla ya kufikia unri wa kustaafu!! kuna exceptions chache kama ajali kazini au ulemavu.

Nenda Overview kadownload sheria iliyounda NSSF.

najua Watanzania hawana mazoea ya kusoma ngoja kikuwekee vipande muhimu



Hizo ndo category za benefits wanazolipa, hakuna "Nimeacha kazi, nataka changu!" Pia angalia



Kwa kifupi hauwezi kulipwa UNLESS umefikia umri wa kustaafu!



Haya ni mambo ya common sense jamani, kama kila mtu anaweza kutoa hela yake wakati wowote anapojisikia Social Security itafanyaje kazi??

Wrong! sio lazima mpaka kustaafu.. Ukiacha kazi unaruhusiwa kuchukua mafao yako na inabidi usubiri six months baada ya kuacha kazi ndio unaweza kudai stahiki zako.., Unaweza pia kuchukua stahiki zako mapema zaidi ya miezi sita kama umeacha kazi sababu ya shule na unahitaji stahiki zako ili kukuwezesha kulipa ada au mambo mengine yanayohusiana na shule(ofcourse U need documents to support this).
 
Nimeiweka sheria husika, anayedai vinginevyo tafadhali naomba atuonyeshe kipengele husika.
 
Hao NSSF kama ukiacha kazi huwezi kupewa mshiko wako siyo pazuri. PPF nililamba change ndani ya mwezi 1 tu!!!!!!!!!!!!!!
Unajua haya mambo yenu ya oohh rafiki yangu kafanya hivi ohh huyu kafanya vile ndo yanawaponza!

Narudia tena hauwezi kupta hela yako kabla ya kufikia unri wa kustaafu!! kuna exceptions chache kama ajali kazini au ulemavu.

Nenda Overview kadownload sheria iliyounda NSSF.

najua Watanzania hawana mazoea ya kusoma ngoja kikuwekee vipande muhimu



Hizo ndo category za benefits wanazolipa, hakuna "Nimeacha kazi, nataka changu!" Pia angalia



Kwa kifupi hauwezi kulipwa UNLESS umefikia umri wa kustaafu!



Haya ni mambo ya common sense jamani, kama kila mtu anaweza kutoa hela yake wakati wowote anapojisikia Social Security itafanyaje kazi??
 
Ngoja nicheze dili tawajuza na mkwanja lazima nichukue ndani ya wiki na michango itaendelea tena,siwezi acha pesa ambayo haina interest hadi niwe kama -Kingunge
 
Nimefanya kazi miaka mitano, nimepata shule kujiendeleza na nimechukua hela yangu yote NSSF Arusha. Inawezekana kuchukua mafao yako kabla kujafikia umri wa kustaafu provided umeacha au umeachishwa kazi au kama utaamua kubadili shirika mf. ukihama toka NSSF kwenda PPF.
 
Unaweza kabisa kuchukua mafao yako ya NSSF hata kama hujaacha kazi, cha msingi tu kama sehemu unayofanyia kazi wafanyakazi wapo NSSF na wengine PPF wewe omba kubadilisha mfuko wa hifadhi kutoka NSSF kwenda PPF ukishafanya hivo hela zako za NSSF unachukua bila tatizo sisi hapa kazini ndo mtindo unaotumika hapa kazini though sijafahamu kama unapewa hela yako kabla ya miezi sita au baada ya miezi sita lakni uwezekano wa kuchukua ela yako kabla ya kustaafu, kuresign au kuachishwa kazi upo ndugu yangu
 
Ni kweli hii njia ndo salama zaidi, sisi pia tulidai NSSf wakorofi wanachukua muda mrefu na tunataka kubadili, HR akatuandikia wote barua za kuachishwa kazi na tukakaa miezi sita tukalipwa mafao yetu. tulipokabidhi tu barua NSSF tulianza kupelekewa PPF, kwakweli hizi akiba zinakaa tu hazina faida na hii inflation ndio kabisa,
ushauri wangu upate baraka ya ofisi husika sio uache kazi.

Unaweza kabisa kuchukua mafao yako ya NSSF hata kama hujaacha kazi, cha msingi tu kama sehemu unayofanyia kazi wafanyakazi wapo NSSF na wengine PPF wewe omba kubadilisha mfuko wa hifadhi kutoka NSSF kwenda PPF ukishafanya hivo hela zako za NSSF unachukua bila tatizo sisi hapa kazini ndo mtindo unaotumika hapa kazini though sijafahamu kama unapewa hela yako kabla ya miezi sita au baada ya miezi sita lakni uwezekano wa kuchukua ela yako kabla ya kustaafu, kuresign au kuachishwa kazi upo ndugu yangu
 
mimi nimehama office, nikahamia ppf, nikachukua mpunga wangu Nssf baada ya miezi sita, hapa nimepata kazi sehemu nyingine next month ntarudi nssf na mpunga wangu ntauchukua ppf (baada ya miezi miwili) ukiwa na akili huwezi kuweka fedha huko kwa mafisadi wanazichezea.

nilichukua mafao yangu milion 10 mwaka juzi nikanunua kiwanja (shamba) sasa hivi nimelikata viwanja nauhakika wa kupata milion 50 je ningeziacha huko nssf zingekuwa sh ngapi kama siyo hiyo m 10???
 
Back
Top Bottom