Swali kwa Pasco na waosha vinywa wengine

Massenberg

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
1,173
1,370
Wapo watu humu, akiwemo mtajwa hapo juu, ambao wanampigia debe na kumng'ang'ania Lowassa kama luba wakiwa na uhakika wa asilimia zaidi ya mia moja kuwa 2015 ndiye atakayechukua uongozi wa nchi.
Ikizingatiwa kuwa huyu bingwa ndiye mwenyekiti asiye rasmi wa CCM ya leo na kwamba kwa kiasi kikubwa nchi inaendeshwa kwa utashi wake, swali ni hili:
Je, watu woooooooote walio upande wake ndani ya CCM na wengine wa pembeni pembeni tunaowasikia humu wameemuandaa nani kama mbadala wa Lowassa iwapo anakufa KABLA hajaionja pepo ya Magogoni, na je, huo unaweza kuwa mwisho wa CCM ya leo?
 
Swali zuri ila usitangulize kufa. Katika kambi zote lazima kuwe na plan A na B. Plan A ikishindwa unatumia plan B
 
Mwenyekiti wa ccm sasa ni Jay Kei, Membe, Migiro na Riz!
kama akifa Edo ni mapenzi ya Maulana! ila kama hatakufa yeye ndo mwenye uwezo wa kusahihisha madudu ya Mtalii from Msoga
 
Mwenyekiti wa ccm sasa ni Jay Kei, Membe, Migiro na Riz!
kama akifa Edo ni mapenzi ya Maulana! ila kama hatakufa yeye ndo mwenye uwezo wa kusahihisha madudu ya Mtalii from Msoga

Unashangaza sana, utasemaje Lowassa atasahihisha madudu ya mkweree wakati yeye Lowassa ndio amefanya madudu mengi sana alipokuwa serikalini? Madudu ya Lowassa ndio madudu ya mkweree and vice versa!! Lowassa is carrying such a big load of baggage that will incapacitate him from rational decision making if he ever became the head of state [ GOD FORBID]and the country will be worse off than now.
 
Wapo watu humu, akiwemo mtajwa hapo juu, ambao wanampigia debe na kumng'ang'ania Lowassa kama luba wakiwa na uhakika wa asilimia zaidi ya mia moja kuwa 2015 ndiye atakayechukua uongozi wa nchi.
Ikizingatiwa kuwa huyu bingwa ndiye mwenyekiti asiye rasmi wa CCM ya leo na kwamba kwa kiasi kikubwa nchi inaendeshwa kwa utashi wake, swali ni hili:
Je, watu woooooooote walio upande wake ndani ya CCM na wengine wa pembeni pembeni tunaowasikia humu wameemuandaa nani kama mbadala wa Lowassa iwapo anakufa KABLA hajaionja pepo ya Magogoni, na je, huo unaweza kuwa mwisho wa CCM ya leo?


Hili nalo laweza kuwa swali la GT? kuwa watu kwa sababu wanampenda Slaa eti akifa mbadala wake atakuwa nani? unaweka matokeo ya kifo kwa sababu gani?? kuwa watu wajadili 'kama akifa EL"?? Tuaneze kujadili yasiyokuwepo? wont this be another abunuwas?

au akifa kama utakavyo, kikomo cha upendo kinakoma na watu hawapendi tena? je unawaza mkeo akifa leo nani utamwoa??

Pia kumbe akina Pasco wameishajiaminisha kuwa EL ni rais kwa asilimia 100%?? sasa kama ni hivyo si BASI WANA UWEZO WA KUZUIA KIFO??

Personally Lowassa hawezi kuwa rais, wala hao mnaowataja kila siku..Rais yupo ametulia. Jina lake mtaanza kulisikia just 9 months before election..he will be supported by everyone including you! kama unaamini kifo, amini kuwa huyo mtu yupo? yes ...UTOPIA!
 
Wapo watu humu, akiwemo mtajwa hapo juu, ambao wanampigia debe na kumng'ang'ania Lowassa kama luba wakiwa na uhakika wa asilimia zaidi ya mia moja kuwa 2015 ndiye atakayechukua uongozi wa nchi.
Ikizingatiwa kuwa huyu bingwa ndiye mwenyekiti asiye rasmi wa CCM ya leo na kwamba kwa kiasi kikubwa nchi inaendeshwa kwa utashi wake, swali ni hili:
Je, watu woooooooote walio upande wake ndani ya CCM na wengine wa pembeni pembeni tunaowasikia humu wameemuandaa nani kama mbadala wa Lowassa iwapo anakufa KABLA hajaionja pepo ya Magogoni, na je, huo unaweza kuwa mwisho wa CCM ya leo?
Kuwa kichaa sio mpaka uokote makopo!.
 
Hili nalo laweza kuwa swali la GT? kuwa watu kwa sababu wanampenda Slaa eti akifa mbadala wake atakuwa nani? unaweka matokeo ya kifo kwa sababu gani?? kuwa watu wajadili 'kama akifa EL"?? Tuaneze kujadili yasiyokuwepo? wont this be another abunuwas?

au akifa kama utakavyo, kikomo cha upendo kinakoma na watu hawapendi tena? je unawaza mkeo akifa leo nani utamwoa??

Pia kumbe akina Pasco wameishajiaminisha kuwa EL ni rais kwa asilimia 100%?? sasa kama ni hivyo si BASI WANA UWEZO WA KUZUIA KIFO??

Personally Lowassa hawezi kuwa rais, wala hao mnaowataja kila siku..Rais yupo ametulia. Jina lake mtaanza kulisikia just 9 months before election..he will be supported by everyone including you! kama unaamini kifo, amini kuwa huyo mtu yupo? yes ...UTOPIA!
Mkuu Waberoya, humu jf zaidi ya hate preachers, pia tunao lots of prophets of doom!. Wengine mimi nawaona kama vichaa tuu na huwa siwajibu!. Next time ukikutana na thread utumbo za aina hii usiwaste your time kuijibu. Mimi niliipotezea hii thread since day one na nimekuja humu kwa sababu yako.

Mimi napigania Lowassa awe mgombea wa CCM wanao read in between the lines walinielewa, wengine kama hawa ndio hivyo tena, can't help them!.
 
Mkuu Waberoya, humu jf zaidi ya hate preachers, pia tunao lots of prophets of doom!. Wengine mimi nawaona kama vichaa tuu na huwa siwajibu!. Next time ukikutana na thread utumbo za aina hii usiwaste your time kuijibu. Mimi niliipotezea hii thread since day one na nimekuja humu kwa sababu yako.

Mimi napigania Lowassa awe mgombea wa CCM wanao read in between the lines walinielewa, wengine kama hawa ndio hivyo tena, can't help them!.

Hata mimi nilikusoma vizuri kipindi cha yule "hutaki unaacha"

na hiyo hapo juu,ni moja ya thread pathetic of all JF Time...!
 
Kukiri udhaifu nako ni uungwana....kutokana na hilo let me declare kwamba kumbe am not Greaest Thinker manake nimeshindwa kabisa kuelewa mada!!!
 
Mkuu Waberoya, humu jf zaidi ya hate preachers, pia tunao lots of prophets of doom!. Wengine mimi nawaona kama vichaa tuu na huwa siwajibu!. Next time ukikutana na thread utumbo za aina hii usiwaste your time kuijibu. Mimi niliipotezea hii thread since day one na nimekuja humu kwa sababu yako.

Mimi napigania Lowassa awe mgombea wa CCM wanao read in between the lines walinielewa, wengine kama hawa ndio hivyo tena, can't help them!.
Naendelea na My Tribute to this fallen hero, Mwamba wa Kaskazini, kwa kujikumbusha baadhi ya mabandiko yangu kumhusu shujaa huyu mpaka siku atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, let's celebrate the life and the times of Edward Lowassa.

RIP Shujaa Laigwanani Comred Edward Ngoyai Ole Lowassa,

Umepigana vita vilivyo vitakatifu, Mwendo umeumaliza,
Imani umeilinda.
Bwana alitoa,
Bwana ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Back
Top Bottom