Massenberg
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 1,173
- 1,370
Wapo watu humu, akiwemo mtajwa hapo juu, ambao wanampigia debe na kumng'ang'ania Lowassa kama luba wakiwa na uhakika wa asilimia zaidi ya mia moja kuwa 2015 ndiye atakayechukua uongozi wa nchi.
Ikizingatiwa kuwa huyu bingwa ndiye mwenyekiti asiye rasmi wa CCM ya leo na kwamba kwa kiasi kikubwa nchi inaendeshwa kwa utashi wake, swali ni hili:
Je, watu woooooooote walio upande wake ndani ya CCM na wengine wa pembeni pembeni tunaowasikia humu wameemuandaa nani kama mbadala wa Lowassa iwapo anakufa KABLA hajaionja pepo ya Magogoni, na je, huo unaweza kuwa mwisho wa CCM ya leo?
Ikizingatiwa kuwa huyu bingwa ndiye mwenyekiti asiye rasmi wa CCM ya leo na kwamba kwa kiasi kikubwa nchi inaendeshwa kwa utashi wake, swali ni hili:
Je, watu woooooooote walio upande wake ndani ya CCM na wengine wa pembeni pembeni tunaowasikia humu wameemuandaa nani kama mbadala wa Lowassa iwapo anakufa KABLA hajaionja pepo ya Magogoni, na je, huo unaweza kuwa mwisho wa CCM ya leo?