Swali kwa Nape Nnauye

Swali kwa Nape Nnauye

Mbona unamjibia mkuu? Mwache ajibu mwenyewe. Kwa nafasi aliyonayo anao uwezo wa kuyajibu.
hajamjibia mkuu huyu ndiye nape mwenyewe si wajua tena maswala ya mult ID na jf haipingamani na hilo kisheria
 
Nape anahusika vipi na mambo yanayotakiwa kushughulikiwa na serikali.
kama we si mfatiliaji wa mambo usikurupuke kuuliza.nape amesma mwenyewe kuwa serikali inatekeleza ilan ya ccm,na sasa hivi wanazunguka na mawazir katika mikutano yao ya hadhara,pia nepi aka janga la kitaifa,aka vuvuzela,aka mropokaji amesma watakuwa wanawaita watendaj wa serkali katika vikao vyao vya NYINYIEM kuwahoji,sasa wewe unauliza nini?mpenzi wako nini?una hasara
 
Nape anahusika vipi na mambo yanayotakiwa kushughulikiwa na serikali.

na la ccj lihusiana na serikali?
Uvccm,umoja wa wanawake wanausiana na serikali? kwenye kujibu rushwa iliyotumika imeshulikiwaje!!
Hata hivyo alishajionyesha kwamba anafuatilia ilani ya chama na akiwa kusini alisema "mtoto ambaye ajui mahusiano ya baba na mama atamzuiaje baba kuingia chumbani?" kwa maneno haya ya kujitakia kudandia ,ajibu maswali yote! Tena asibakishe hata moja maana alikuja na uzi "mmemtetea babu sana lakini!" cha kushangaza maswali aliyoulizwa kwenye uzi huo hakujibu alirukia point ya matusi na kuingia mitini.
Nauye Nape jr jibu maswali yote kwa ufasaha na bila kurukaruka !
 
Back
Top Bottom