Swali kwa Muslimu

ora

JF-Expert Member
May 21, 2016
1,198
1,122
Habari
jamani tunabishana hapa

Wakristo cha kubebea maiti wanaita Jeneza
je waislamu kile wanachobebea maiti kutoka msikitini kupeleka makaburini wanaitaje?
 
Habari
jamani tunabishana hapa

Wakristo cha kubebea maiti wanaita Jeneza
je waislamu kile wanachobebea maiti kutoka msikitini kupeleka makaburini wanaitaje?
Linaitwa "tusi" au kwa kiswahili rahisi jeneiza!
 
Habari
jamani tunabishana hapa

Wakristo cha kubebea maiti wanaita Jeneza
je waislamu kile wanachobebea maiti kutoka msikitini kupeleka makaburini wanaitaje?

Wakristo wanaita Sanduku, ila wailam wanaita janeiza, kwa waislam kuna mpaka sala inaitwa sala ya Janeiza ambayo husaliwa maiti kabla ya kuzikwa upo!!??
 
Kitu kilichotengenezwa kwa ajili ya kubebea maiti kwaajili ya kwenda kuizika huitwa jeneza, dini gani wanakitumia, madini gani yametumika kukitengeneza hicho chombo, material gani yametumika n.k hivi vyote haviathiri maana ya neno JENEZA.Zaidi ya hapo maneno yatatofautiana kwakuwa lugha inakua na jiografia ya watumiaji
 
Gari la mwisho
kuna mmoja anasema jeneza mwingine gari la mwisho
basi tabu tupu
Kinaitwa jeneza
Au Tusi

Linaitwa "tusi" au kwa kiswahili rahisi jeneiza!

Kitu kilichotengenezwa kwa ajili ya kubebea maiti kwaajili ya kwenda kuizika huitwa jeneza, dini gani wanakitumia, madini gani yametumika kukitengeneza hicho chombo, material gani yametumika n.k hivi vyote haviathiri maana ya neno JENEZA.Zaidi ya hapo maneno yatatofautiana kwakuwa lugha inakua na jiografia ya watumiaji
 
kuna mmoja anasema jeneza mwingine gari la mwisho
basi tabu tupu
Samahani sioni ugumu. Ni kawaida kuwa na majina tofauti kwa kitu kilekile. Tazama gari-motokaa, nyumba-jengo, nyanya-bibi..... Ni utajiri wa lugha, si tatizo.
 
Back
Top Bottom