Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 12,915
- 27,418
Spirits don't exist.Why evil spirit or damed souls afraid jesus name? Au nayo ni maigizo?
Spirits don't exist.Why evil spirit or damed souls afraid jesus name? Au nayo ni maigizo?
Endelea kujijaza ujinga tuSpirits don't exist.
Wewe ndio umejijaza ujinga kwa kuamini vitu vya kijinga.Endelea kujijaza ujinga tu
Mm sio kuamini NAJUAWewe ndio umejijaza ujinga kwa kuamini vitu vya kijinga.
Kama unajua, unaweza kuthibitisha uwepo wa Spirits?Mm sio kuamini NAJUA
Stimu zimelipiwaSwali la kwanza:
Kwenye kitabu chako cha Qur-an, unasifia kuwa ni kitabu ambacho hakiwezi kubadilishwa maneno yake na maudhui yake Abadan Abadan, je ilikuwaje ukaanza na kushusha kitabu chako cha INJILI ambacho kiliweza kubadilishwa kiurahisi?
Swali la pili:
Kwanini katika kitabu chako cha Qur-an umeweka mkatazo mkubwa kuwa (hauzai wala hauzaliwi wala hauna mshirika) hii imeonyesha kuwa unachukua sana watu wakisema kuwa unazaa na una mshirika, je kwanini usiweke hilo na katika injili, zaburi na torati?
Swali la tatu:
Umesema katika Qur-an kuwa swala yetu na Ibada zetu hazikuongezei chochote wala havikupunguzii chochote katika ufalme wako je kwanini unaonyesha kuchukia sana sisi tunapotenda dhambi?, au madhambi yetu kuna kitu yanapunguza katika ufalme wako?,
bibilia ni upupu tu umetungwa na wazungu, ndio maana wazayuni hawauamini.....shida muandishi hujasoma biblia, nenda kasome tena
"Na wanapo somewa Aya zetu husema: 'Tumeshasikia! Lau tungelitaka, sisi pia tungezua maneno mfano wa haya. Hayakuwa haya ila ni hadithi za watu wa zamani.'"
"Anapoisomewa Aya zetu, husema: 'Haya ni hadithi za watu wa zamani!'"
"Hakika wale waliokufuru, ni sawa kwao ukiwaonya au hujawaonya, hawaamini. Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na masikio yao, na mbele ya macho yao pana kifuniko; na watapata adhabu kubwa."