Nitamwita wife,
Kwani ni lazima nimwite Mama fulani?
Halafu wanaume tunaojielewa hua hatuna pigo za kuwabagua watoto wa kambo,watoto ni malaika,they are innocent,
Kama umeoa single maza basi mpende na mtoto wake,ukipenda boga,penda na ua lake,
Halafu hapo mtoto anakua mbali na Baba yake,so wewe ndio unatakiwa umpe ule upendo wa Baba ili asiwe mnyonge,hata Mungu atakubariki,roho mbaya haijengi,
Nimekujibu hivyo coz swali lako limekaa kiubaguzi kwa kushindanisha mtoto wa kuzaa na mtoto wa kambo,
All children deserve a childhood free from discrimination based on race, gender, ability, religion, or social status.