Jaman habari zako? maaana najua akat unasoma uko mwenyewe!.
Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kupendwa na mdada mmoja hapa jirani juzi alianza kuonyesha dalili kitambo.Mfano nikikutana nae anikumbatia kwa nguvu anafrahi ana changamka sana!. lakin mimi kusema kwel ndo walaaaaaaa sijamwelewa/kumpenda.
Mwezi uliopita ilitokea nikawa sijaenda kwenye mizunguko yangu na kwenye salamu nilimwambia kwamba nipo nyumbani.Alipogundua hilo alinialika kwao akiwa mwenyewe kwao mimi yuuuuule nikaibuka nkaingia getini kwao tukaaanza piga story wakat wa story nkamuuliza "Ivi unanipenda?" akasita sita akasema ndio. Apo mi nkajiongeza nkambananisha ukutani nkaanza kum touch touch akawa kama anaelewa yale yanayoendelea yani............ .Nkitaka kumfunua anakataaaaa akanipa story kwamba "Long time ago aliingiliwa na jamaaaa flani hivi so hayo mambo ya kuniaje yanamtesa sana so hatoweza.
Nkasema hapa nisije jikuta nashindwa kujizuia nkaaaacha nkampigisha story mbili huku tukiwa 0.0000000000006 distance mara ma kisss ya hapa na pale.... mi huyooooooooo nkarudi maskani.
Maswali yangu hapa.
1)huyu mdada ananipenda kwel kuliko hata mdada yeyote alie wahi nipenda yani anaonesha ana TRUE LOVE kwangu.Je nijifanye nampenda? maaana sometimes ananiuliza Unanipenda? mi nasema ndio lakini najiskia uzito.
2)Pia huyu dada amepitia kasumba kama laki ambazo zimemfanya asiende shule so kusoma kafundishwa juzi juzi sometimes ata mimi ananipa wakat mgumu kujua kama anauliza au anasema.Si atakuwa mzigo kwangu???.ukicheki mimi nina soma somaaaaaaaa. We utakubal kuoa au kuolewa na ambaye hajasoma?
NB.msaada wenu jaman kina miss natafuta,Zero iq,Money penny na wewe pia!
Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kupendwa na mdada mmoja hapa jirani juzi alianza kuonyesha dalili kitambo.Mfano nikikutana nae anikumbatia kwa nguvu anafrahi ana changamka sana!. lakin mimi kusema kwel ndo walaaaaaaa sijamwelewa/kumpenda.
Mwezi uliopita ilitokea nikawa sijaenda kwenye mizunguko yangu na kwenye salamu nilimwambia kwamba nipo nyumbani.Alipogundua hilo alinialika kwao akiwa mwenyewe kwao mimi yuuuuule nikaibuka nkaingia getini kwao tukaaanza piga story wakat wa story nkamuuliza "Ivi unanipenda?" akasita sita akasema ndio. Apo mi nkajiongeza nkambananisha ukutani nkaanza kum touch touch akawa kama anaelewa yale yanayoendelea yani............ .Nkitaka kumfunua anakataaaaa akanipa story kwamba "Long time ago aliingiliwa na jamaaaa flani hivi so hayo mambo ya kuniaje yanamtesa sana so hatoweza.
Nkasema hapa nisije jikuta nashindwa kujizuia nkaaaacha nkampigisha story mbili huku tukiwa 0.0000000000006 distance mara ma kisss ya hapa na pale
Maswali yangu hapa.
1)huyu mdada ananipenda kwel kuliko hata mdada yeyote alie wahi nipenda yani anaonesha ana TRUE LOVE kwangu.Je nijifanye nampenda? maaana sometimes ananiuliza Unanipenda? mi nasema ndio lakini najiskia uzito.
2)Pia huyu dada amepitia kasumba kama laki ambazo zimemfanya asiende shule so kusoma kafundishwa juzi juzi sometimes ata mimi ananipa wakat mgumu kujua kama anauliza au anasema.Si atakuwa mzigo kwangu???.ukicheki mimi nina soma somaaaaaaaa. We utakubal kuoa au kuolewa na ambaye hajasoma?
NB.msaada wenu jaman kina miss natafuta,Zero iq,Money penny na wewe pia!