mirna92
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 502
- 1,001
Jibu unalo wewe mwenyewe kwa sababu hakuna shule ya mapenzi.Hapo nimekuelewa so nimpege chini coz sijamwelewa!??
Jibu unalo wewe mwenyewe kwa sababu hakuna shule ya mapenzi.Hapo nimekuelewa so nimpege chini coz sijamwelewa!??
Apa kwenye vizinga sizani kama ataeza.... . But ikitokea akanipiga ntatumia njia hio kumkimbia ili nitoke kwenye hili "BONGE LA DILEMA"
Apa kwenye vizinga sizani kama ataeza.... . But ikitokea akanipiga ntatumia njia hio kumkimbia ili nitoke kwenye hili "BONGE LA DILEMA"
Thanks Mirna!hakuna shule ya mapenzi.
Sina mpango wa kumpeleeka location ingine maaaana ni Gate kali ya hali ya juuuuuu kumtoa apo ni msala wa kutulizwa na FFU. lakin ntamtaftia sababu ya kumsukumia kuuuuuuuuuuuuuule. Recycle bin kasema kuna vilainishi sina haja ya kuvijua!Kwahiyo ulitaka umbandulie kwao?
Tell me about it.....Kids nowadays!
vipo ndio we endelea kama avijapakwa juu yakoSina mpango wa kumpeleeka location ingine maaaana ni Gate kali ya hali ya juuuuuu kumtoa apo ni msala wa kutulizwa na FFU. lakin ntamtaftia sababu ya kumsukumia kuuuuuuuuuuuuuule. Recycle bin kasema kuna vilainishi sina haja ya kuvijua!
Unasema kweli?Japo haujaniita lakin mchango wangu ni huu....
Mapenzi, maisha na kusoma ni vitu vitatu tofauti,
Mi nitaolewa na mtu hata kama hakusoma madhali nitakua nimeridhika nae.
Thanks Mirna!
Hujaona question mark? za kutosha ilo ni msemo wa swali! (scenario question)Hahahaa...na wewe unauliza au unasema
Grow up!Tell me about it.....
Sawasawa equator mzee wa pussy phobiaSo Huna mchango idiot?...... idiot!