Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Sina ushahuri
Una roho nzuri sana!Sina ushahuri
Hata mimi nazitafuta lakin nahisi nikienda kichwa kichwa itantokea puani!. Usije enda kichwa kichwa sio kila chanse ndo chanse.......wengine tuna tafuta bahati kama hizo kwa tochi...tehteehh
Ugumu umenishinda u player pia umenishinda nimebaki kuduwwaaaaa.Labda nipo kwa maduwanzi! mkuu!Mtoa mada uko kundi lipi kati ya wagumu na ma player?
Maridadi Thanks mbalizi!. Mimba na ayo ma ukimwi mimi hayo ndo nipate hataaaaaaryyy!Ingekuwa unampenda ningekushauri ufanye mipango inayoyakikana uwe naye lakini kwa maelezo yako hayo ni shida, kuwa makini
Ujana ukiuvuka salama mshukuru Mungu sana sanaMaridadi Thanks mbalizi!. Mimba na ayo ma ukimwi mimi hayo ndo nipate hataaaaaaryyy!
We kula utam huo, ukogi na ngezi af unaleta mambo za kislo mo!Hapo nimekuelewa so nimpege chini coz sijamwelewa!??
Nilichong'amua..mtoa mada kaotea loose ball baada ya kula nyembe za kutosha. Vitonga na ngai huwaga vinakuwaga jau sana ila tatizo mwamba ana ugwadu sana. Hana jinsi lazma apigilie mkuyati tu.
Hahah haez kubali huyo jamaa ana ma "Ngezi" kama yoteMtoa mada ana ukame afu kapshana na papuchi sio poa
Hahahaha jamaa umemwaga pwenti za muhim sana. Kama akili hana basi awe mzuri sana pasi na mfano. Awe na tako la hela yote! Ukivumilia ujue unavumilia lipi kati ya haya brain and strategic but romanticless ama kuwa na mke anaetakwa na kila mtu na akili hana!Mwanamke hajasoma hana bikra, basi awe na akili za maisha kama hana basi awe na tako la haja kama hana hata kimoja wapo tembeza pumbu pita kushoto
Najua utanishangaa ila ivo vitu kimoja wapo kitaku inspire hata kuwa na hamu ya kuendelea nae
Hahah haez kubali huyo jamaa ana ma "Ngezi" kama yote
We fala kweli mzee.Jaman habari zako? maaana najua akat unasoma uko mwenyewe!.
Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kupendwa na mdada mmoja hapa jirani juzi alianza kuonyesha dalili kitambo.Mfano nikikutana nae anikumbatia kwa nguvu anafrahi ana changamka sana!. lakin mimi kusema kwel ndo walaaaaaaa sijamwelewa/kumpenda.
Mwezi uliopita ilitokea nikawa sijaenda kwenye mizunguko yangu na kwenye salamu nilimwambia kwamba nipo nyumbani.Alipogundua hilo alinialika kwao akiwa mwenyewe kwao mimi yuuuuule nikaibuka nkaingia getini kwao tukaaanza piga story wakat wa story nkamuuliza "Ivi unanipenda?" akasita sita akasema ndio. Apo mi nkajiongeza nkambananisha ukutani nkaanza kum touch touch akawa kama anaelewa yale yanayoendelea yani............ .Nkitaka kumfunua anakataaaaa akanipa story kwamba "Long time ago aliingiliwa na jamaaaa flani hivi so hayo mambo ya kuniaje yanamtesa sana so hatoweza.
Nkasema hapa nisije jikuta nashindwa kujizuia nkaaaacha nkampigisha story mbili huku tukiwa 0.0000000000006 distance mara ma kisss ya hapa na pale....mi huyooooooooo nkarudi maskani.
Maswali yangu hapa.
1)huyu mdada ananipenda kwel kuliko hata mdada yeyote alie wahi nipenda yani anaonesha ana TRUE LOVE kwangu.Je nijifanye nampenda? maaana sometimes ananiuliza Unanipenda? mi nasema ndio lakini najiskia uzito.
2)Pia huyu dada amepitia kasumba kama laki ambazo zimemfanya asiende shule so kusoma kafundishwa juzi juzi sometimes ata mimi ananipa wakat mgumu kujua kama anauliza au anasema.Si atakuwa mzigo kwangu???.ukicheki mimi nina soma somaaaaaaaa. We utakubal kuoa au kuolewa na ambaye hajasoma?
NB.msaada wenu jaman kina miss natafuta,Zero iq,Money penny na wewe pia!
acha kujibaraguza unadate na beki 3Jaman habari zako? maaana najua akat unasoma uko mwenyewe!.
Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kupendwa na mdada mmoja hapa jirani juzi alianza kuonyesha dalili kitambo.Mfano nikikutana nae anikumbatia kwa nguvu anafrahi ana changamka sana!. lakin mimi kusema kwel ndo walaaaaaaa sijamwelewa/kumpenda.
Mwezi uliopita ilitokea nikawa sijaenda kwenye mizunguko yangu na kwenye salamu nilimwambia kwamba nipo nyumbani.Alipogundua hilo alinialika kwao akiwa mwenyewe kwao mimi yuuuuule nikaibuka nkaingia getini kwao tukaaanza piga story wakat wa story nkamuuliza "Ivi unanipenda?" akasita sita akasema ndio. Apo mi nkajiongeza nkambananisha ukutani nkaanza kum touch touch akawa kama anaelewa yale yanayoendelea yani............ .Nkitaka kumfunua anakataaaaa akanipa story kwamba "Long time ago aliingiliwa na jamaaaa flani hivi so hayo mambo ya kuniaje yanamtesa sana so hatoweza.
Nkasema hapa nisije jikuta nashindwa kujizuia nkaaaacha nkampigisha story mbili huku tukiwa 0.0000000000006 distance mara ma kisss ya hapa na pale....mi huyooooooooo nkarudi maskani.
Maswali yangu hapa.
1)huyu mdada ananipenda kwel kuliko hata mdada yeyote alie wahi nipenda yani anaonesha ana TRUE LOVE kwangu.Je nijifanye nampenda? maaana sometimes ananiuliza Unanipenda? mi nasema ndio lakini najiskia uzito.
2)Pia huyu dada amepitia kasumba kama laki ambazo zimemfanya asiende shule so kusoma kafundishwa juzi juzi sometimes ata mimi ananipa wakat mgumu kujua kama anauliza au anasema.Si atakuwa mzigo kwangu???.ukicheki mimi nina soma somaaaaaaaa. We utakubal kuoa au kuolewa na ambaye hajasoma?
NB.msaada wenu jaman kina miss natafuta,Zero iq,Money penny na wewe pia!
We jamaa elimu yako haijakusaidia....nadhanimhata wewe ukirudia soma hutaelewa...acha mapenzi nenda shule halafu acha ngono zembe nyumbani kwa mwanamke ndo maana kuna maguest utakuja itiwa mwizi
Japo haujaniita lakin mchango wangu ni huu....
Mapenzi, maisha na kusoma ni vitu vitatu tofauti,
Mi nitaolewa na mtu hata kama hakusoma madhali nitakua nimeridhika nae.