Temea mate chini,unataka nisipate usingizi ?Bora kina sie tusio na matarajio ya kua na hao waume!!!
Utafanyeje ukigundua kuwa mumeo ana watoto wawili nje aliozaa na changudoa na mwingine kazaa na baa medi?
Kisaikokolojia wanaume wanavumilia uongo kuliko wanawake...
We kweli utakuwa mke mzuri ngoja nikusanye watoto tuje wote Mpwapwa,yule wa Marangu sijui kama atanipa mtoto lol!nitamwambia awalete nyumbani niwalee.
We kweli utakuwa mke mzuri ngoja nikusanye watoto tuje wote Mpwapwa,yule wa Marangu sijui kama atanipa mtoto lol!
Wewe Maria!!!!!!!!!!!!!!! Kumbe ni mwoga hivyo.Nitafungasha kilicho changu na kurudi kwetu
shosti hujui kama uchumi unaruhusu ama lah? Hebu chomeka deep stick utaujua uchumi umekaeje
upo sahihi. Hii kitu imemtokea sista wangu this week. Amegundua mumewe wa ndoa ana watoto wawili nje. Imagine, sista ameumia sana mpaka anatia huruma.
Wanaume plz lindeni ndoa zenu.
Temea mate chini,unataka nisipate usingizi ?
Jamani Lizzy kama its the right man, kuna unique raha - just tread carefully kutafuta shem, tufanye hiyo sherehe. Welcome to the club...
Mambo mengi yatachangia katika maamuzi yangu. Mwanaume wa kutembea mpaka anazaa na changudoa na bar maid ina maana huyo ni cassanova na mlevi wa kupindukia - mwanaume wa namna hiyo mke hua anajua tabia ya mumewe. Ndo maana utasikia baadhi ya wanawake wanasema kabisa hadharani kua mm namjua mume wangu ni malaya!
Kama hio tabia ya umalaya tayari ni dhahiri na bado unakaa nae - cha ajabu nini kusikia kazaa na hao wanawake (tena ukute hata kapakaziwa) hakuna haja ya kumuuliza watoto kama bado una nia ya kuishi nae maana utampa sababu ya kuwaleta hapo uwalee. kwa upande wangu tatizo ambalo halina ufumbuzi sioni sababu ya kulifungua iwapo nimeamua kumuacha naondoka zangu, za nini headaches....
<br />Mwanaume hawagi malaya jaribuni kuangalia kamusi ya kiswahili maana ya neno malaya!
<br />
<br />
Kwa hiyo anakuwa nani?!
Bora kina sie tusio na matarajio ya kua na hao waume!!!