Swali kwa kina dada.

Leonard Robert nayajua mawazo yake, kila siku kazi yake ni kututuhumu. Naona yalisha wahi kumkuta
 
nikiwa nina uhakika 100%
itabidi nimtahiri mara ya pili
au nivunje mayai ......
nadhani hii ndio solution
 
upo sahihi. Hii kitu imemtokea sista wangu this week. Amegundua mumewe wa ndoa ana watoto wawili nje. Imagine, sista ameumia sana mpaka anatia huruma.
Wanaume plz lindeni ndoa zenu.


Loh....kuna wanaume wa ajabu kweli!!!
Pole yake jamani!
 
Jamani Lizzy kama its the right man, kuna unique raha - just tread carefully kutafuta shem, tufanye hiyo sherehe. Welcome to the club...

Dah sasa bibie huyo Mr. Right wangu mpaka ajue nilipo anifuate ntakua nimeshazeeka hata ''duties'' za ndoa siwezi tena!!Ila ngoja nitulie labda nisilodhani litakua!!
 





Mambo mengi yatachangia katika maamuzi yangu. Mwanaume wa kutembea mpaka anazaa na changudoa na bar maid ina maana huyo ni cassanova na mlevi wa kupindukia - mwanaume wa namna hiyo mke hua anajua tabia ya mumewe. Ndo maana utasikia baadhi ya wanawake wanasema kabisa hadharani kua mm namjua mume wangu ni malaya!


Kama hio tabia ya umalaya tayari ni dhahiri na bado unakaa nae - cha ajabu nini kusikia kazaa na hao wanawake (tena ukute hata kapakaziwa) hakuna haja ya kumuuliza watoto kama bado una nia ya kuishi nae maana utampa sababu ya kuwaleta hapo uwalee. kwa upande wangu tatizo ambalo halina ufumbuzi sioni sababu ya kulifungua iwapo nimeamua kumuacha naondoka zangu, za nini headaches....

Mwanaume hawagi malaya jaribuni kuangalia kamusi ya kiswahili maana ya neno malaya!
 
Hapo sina jibu, nafikiri nitaamua hapohapo likinikuta cause naweza sema nitafanya hivi likatokea nikafanya vingine
 
kama aliwazaa kabla ha2jafunga ndoa,na hana mahusiano nao tena,akikiri nitawachukua na kuwalea ila nikigundua ni baada naenda kupima then majibu ndio yatanipa maamuzi!
 
Back
Top Bottom