Bila shaka. Nadhani fyuzi zake zimeunguaKwamba fyuzi za ubongo wake zina walakini....jf noma
Kweli kabisa. Wote Lowasa na gwajima ni mizigoMbaazi zikikosa mauwa husingizia Mvua.
"Asiyemtaka Lowassa akale malimao!" Hicho ndicho alichosema Gwajima alipokuwa kwenye mkutano wa Lowasa Arusha. Nadhani sasa imefikia zamu yake kuanza kufakamia malimao na ndimu!
Tunza akiba ya maneno, huoni Slaa na El bado wana nafasi ya kufanya kazi pamoja wakiamua.Alikuwa kundi la Dr. Slaa, baadae katimkia team Lowassa na hata kutoa maneno ambayo yaliwakera watu wengi sana. "Asiyempenda Lowassa Akale Ndimu" ndio maneno yenyewe. Sasa CCM ya Kitengo cha Riz1 imemkataa Lowassa, Je hawa wote watakula ndimu? Gwajima uso wako utauficha wapi ?
Alikuwa kundi la Dr. Slaa, baadae katimkia team Lowassa na hata kutoa maneno ambayo yaliwakera watu wengi sana. "Asiyempenda Lowassa Akale Ndimu" ndio maneno yenyewe. Sasa CCM ya Kitengo cha Riz1 imemkataa Lowassa, Je hawa wote watakula ndimu? Gwajima uso wako utauficha wapi ?
Jamani gwajima sio askofu huyo ni muhuni kama wahuni wengine tu.kwenye kila mapumbavu humkosi gwajima alafu mnamwita askofu kwa lipi mtu anayenyang'anya wake za watu anawezaje kuwa askofu.[/QUOT
Ni muhuni alafu CDM wako naye na hata pale kawe walimkaribisha jukwaani ..wahuni wameanza kuigeuza CDM taratiibu na mwisho wa siku IPO siku chama kitakuwa mikononi mwa walanguzi na watu wachafu kwenye jamii ..aibu sana huku mtaani.