Kitendo cha Gwajima kujipambanua kama mtabiri, mtabibu, nabiii na mfuasi wa Lowasa kwa kiasi kikubwa kimeathiri Lowasa kuingia Magogoni.
Hii ni kwa sababu watu wote wenye akiri akiwemo JK, Mkapa na Mangula watakuwa wameona ni uchuro kuchaguliwa Rais na mtu ambaye fyuzi za ubongo wake zina walakini.
Kitendo cha Gwajima kuporomosha matusi ya kihuni kwa Cardinal Pengo, mtu ambaye integrity yake Gwajima hafikii hata kwa asilimia moja, kilimwondolea heshima kwa jamii yote ya kistaarabu na hivyo mtu yeyote anayeshahabikiwa naye, lazima nae azue maswali mengi.
Taarifa za uhakika ni kwamba maaskofu Katoliki na hata wa madhehebu mengine, walikasirishwa na matusi ya Gwajima kwa Cardinal na hivyo kutoka azimio la kutounga mkono chaguo la mtumishi huyo mhuni na ndipo walipotoa misimamo yao kwa viongozi wa Serikali kuwa hawako tiyari kuchaguliwa Rais na Gwajima.
Usingekuwa wewe Gwajima, EL alikuwa na njia nyeupe magogoni.