Umesha lamba??? Hivi kwa nini nyie guys hutumia lugha ya dharau kiasi hiki jamani?? Kwa haya maneno uloandika hapa, una haki ya kupata wengine 6 wapiga mizinga!
thethethethet!! jakubumbaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!Jakubumbaaaa, njoo basi nikupe hug zito, unajuaga nakupendaga sana. Usisahau kadi yako ya atm eee mpenzi.
Mimi ni mvulana nina miaka 27. Kwa umri huu nilionao nimisha lamba wasichana sita hadi sasa,cha ajabu kati ya hao hakuna alienitongoza hata mmoja ilikuwa ni kiherehere changu changu ndo maaana kuwaaacha haikuwa shida! Je inamaana akina dada hamjui kupenda mpaka msubiri mpendwe? Mkisha pendwa ndo mnaleta taaabu nyiiingi na kuonyesha kuwa ninyi ndo mnapenda zaidi ya hata aliekuambia kuwa anakupenda? na kama kweli mnakuwa na upendo wa dhati kwa nini basi macho yetu yote yanaangalia mifukoni mwetu? Nawakilisha maana nimechoka kupenda nasubili kupendwa!!!!!!!!!!!
umelamba? Au umelambwa? Upuuzi mtupu????????
Unaonekana una dharau sana lakini naamini hujawahi kupenda na siku ukinasa utakumbuka maneno haya. Halafu acha kuchukua wanawake wa bei rahisi.Mimi ni mvulana nina miaka 27. Kwa umri huu nilionao nimisha lamba wasichana sita hadi sasa,cha ajabu kati ya hao hakuna alienitongoza hata mmoja ilikuwa ni kiherehere changu changu ndo maaana kuwaaacha haikuwa shida! Je inamaana akina dada hamjui kupenda mpaka msubiri mpendwe? Mkisha pendwa ndo mnaleta taaabu nyiiingi na kuonyesha kuwa ninyi ndo mnapenda zaidi ya hata aliekuambia kuwa anakupenda? na kama kweli mnakuwa na upendo wa dhati kwa nini basi macho yetu yote yanaangalia mifukoni mwetu? Nawakilisha maana nimechoka kupenda nasubili kupendwa!!!!!!!!!!!
Wewe ndiyo unaakili, tena mastrcardJakubumbaaaa, njoo basi nikupe hug zito, unajuaga nakupendaga sana. Usisahau kadi yako ya atm eee mpenzi.
Jakubumbaaaa, njoo basi nikupe hug zito, unajuaga nakupendaga sana. Usisahau kadi yako ya atm eee mpenzi.
Umesha lamba??? Hivi kwa nini nyie guys hutumia lugha ya dharau kiasi hiki jamani?? Kwa haya maneno uloandika hapa, una haki ya kupata wengine 6 wapiga mizinga!
Mimi ni mvulana nina miaka 27. Kwa umri huu nilionao nimisha lamba wasichana sita hadi sasa,cha ajabu kati ya hao hakuna alienitongoza hata mmoja ilikuwa ni kiherehere changu changu ndo maaana kuwaaacha haikuwa shida! Je inamaana akina dada hamjui kupenda mpaka msubiri mpendwe? Mkisha pendwa ndo mnaleta taaabu nyiiingi na kuonyesha kuwa ninyi ndo mnapenda zaidi ya hata aliekuambia kuwa anakupenda? na kama kweli mnakuwa na upendo wa dhati kwa nini basi macho yetu yote yanaangalia mifukoni mwetu? Nawakilisha maana nimechoka kupenda nasubili kupendwa!!!!!!!!!!!
Mimi ni mvulana nina miaka 27. Kwa umri huu nilionao nimisha lamba wasichana sita hadi sasa,cha ajabu kati ya hao hakuna alienitongoza hata mmoja ilikuwa ni kiherehere changu changu ndo maaana kuwaaacha haikuwa shida! Je inamaana akina dada hamjui kupenda mpaka msubiri mpendwe? Mkisha pendwa ndo mnaleta taaabu nyiiingi na kuonyesha kuwa ninyi ndo mnapenda zaidi ya hata aliekuambia kuwa anakupenda? na kama kweli mnakuwa na upendo wa dhati kwa nini basi macho yetu yote yanaangalia mifukoni mwetu? Nawakilisha maana nimechoka kupenda nasubili kupendwa!!!!!!!!!!!
Kwani nyie huwa mnapendaga nini? akili na mawazo yenu yote mkishatongoza iko kwenye kidudu sasa kama macho yenu yanaangalia vidudu vyetu kwa nini na sisi tusiangalie mifukoni mwenu? Ngoma droo