swali kwa akina dada tu!

Umesha lamba??? Hivi kwa nini nyie guys hutumia lugha ya dharau kiasi hiki jamani?? Kwa haya maneno uloandika hapa, una haki ya kupata wengine 6 wapiga mizinga!

Jamani na wewe Kipipi, uelewi tuuu...!!? Mwenzio anapenda kulamba, mwache aendelee kulamba tu. Kwani ukitaka kupata utamu wa pipi kijiti unafanyaje?
 
Mimi ni mvulana nina miaka 27. Kwa umri huu nilionao nimisha lamba wasichana sita hadi sasa,cha ajabu kati ya hao hakuna alienitongoza hata mmoja ilikuwa ni kiherehere changu changu ndo maaana kuwaaacha haikuwa shida! Je inamaana akina dada hamjui kupenda mpaka msubiri mpendwe? Mkisha pendwa ndo mnaleta taaabu nyiiingi na kuonyesha kuwa ninyi ndo mnapenda zaidi ya hata aliekuambia kuwa anakupenda? na kama kweli mnakuwa na upendo wa dhati kwa nini basi macho yetu yote yanaangalia mifukoni mwetu? Nawakilisha maana nimechoka kupenda nasubili kupendwa!!!!!!!!!!!

Mwanamke hatongozi bwana, raha ya mwanamke ni kutongozwa na anatongozwa x 99 but anamkubali mmoja tu
 
Mimi ni mvulana nina miaka 27. Kwa umri huu nilionao nimisha lamba wasichana sita hadi sasa,cha ajabu kati ya hao hakuna alienitongoza hata mmoja ilikuwa ni kiherehere changu changu ndo maaana kuwaaacha haikuwa shida! Je inamaana akina dada hamjui kupenda mpaka msubiri mpendwe? Mkisha pendwa ndo mnaleta taaabu nyiiingi na kuonyesha kuwa ninyi ndo mnapenda zaidi ya hata aliekuambia kuwa anakupenda? na kama kweli mnakuwa na upendo wa dhati kwa nini basi macho yetu yote yanaangalia mifukoni mwetu? Nawakilisha maana nimechoka kupenda nasubili kupendwa!!!!!!!!!!!
Unaonekana una dharau sana lakini naamini hujawahi kupenda na siku ukinasa utakumbuka maneno haya. Halafu acha kuchukua wanawake wa bei rahisi.
 
inawezekan wewe pia hijui kupenda ila huwa unatamani tu na ndo maana hupati akupendae.
 
mi nakuambia kazi tunayo na sio ndogo...................

Umesha lamba??? Hivi kwa nini nyie guys hutumia lugha ya dharau kiasi hiki jamani?? Kwa haya maneno uloandika hapa, una haki ya kupata wengine 6 wapiga mizinga!
 
Mimi ni mvulana nina miaka 27. Kwa umri huu nilionao nimisha lamba wasichana sita hadi sasa,cha ajabu kati ya hao hakuna alienitongoza hata mmoja ilikuwa ni kiherehere changu changu ndo maaana kuwaaacha haikuwa shida! Je inamaana akina dada hamjui kupenda mpaka msubiri mpendwe? Mkisha pendwa ndo mnaleta taaabu nyiiingi na kuonyesha kuwa ninyi ndo mnapenda zaidi ya hata aliekuambia kuwa anakupenda? na kama kweli mnakuwa na upendo wa dhati kwa nini basi macho yetu yote yanaangalia mifukoni mwetu? Nawakilisha maana nimechoka kupenda nasubili kupendwa!!!!!!!!!!!

Hapendwi mtu, pochiiii....!!!
 
Mimi ni mvulana nina miaka 27. Kwa umri huu nilionao nimisha lamba wasichana sita hadi sasa,cha ajabu kati ya hao hakuna alienitongoza hata mmoja ilikuwa ni kiherehere changu changu ndo maaana kuwaaacha haikuwa shida! Je inamaana akina dada hamjui kupenda mpaka msubiri mpendwe? Mkisha pendwa ndo mnaleta taaabu nyiiingi na kuonyesha kuwa ninyi ndo mnapenda zaidi ya hata aliekuambia kuwa anakupenda? na kama kweli mnakuwa na upendo wa dhati kwa nini basi macho yetu yote yanaangalia mifukoni mwetu? Nawakilisha maana nimechoka kupenda nasubili kupendwa!!!!!!!!!!!

Kwani nyie huwa mnapendaga nini? akili na mawazo yenu yote mkishatongoza iko kwenye kidudu sasa kama macho yenu yanaangalia vidudu vyetu kwa nini na sisi tusiangalie mifukoni mwenu? Ngoma droo
 
Kwani nyie huwa mnapendaga nini? akili na mawazo yenu yote mkishatongoza iko kwenye kidudu sasa kama macho yenu yanaangalia vidudu vyetu kwa nini na sisi tusiangalie mifukoni mwenu? Ngoma droo


Maty bwana umencehekesha sana. Na hapo kwenye blue angalia visikung'ate if at all unavyo, Lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom