Dogo kama ni kuhusu Ukimwi, tambua fika huo ugonjwa umeingia nchini miaka ya 1980's! Na kuhusu hizi condom zenu mnazojivunia nazo; Kibongo bongo, zimeanza kuwa maarufu miaka ya 1990's na 2000 tu. Sijui kwa huko Mamtoni.Before ugunduzi wa condoms wahenga walikuwa wanatumia nini?
ILA UTI ILIKUWAPO YA KUTOSHA TUUUWahenga hakutumia maana magonjwa yenu hayakuwepo...
Yaani ninyi namba D mmetengeneza magonjwa na mmejitafutia suluhu... Kwahiyo ulimwengu wenu katu hauwezi, abadani kufanana na ulimwengu wa namba C kushuka chini
😋😋😋😋
Aisee siku hizi tunapima mimba tu baada ya hapo ni humo kwa humo tu samahani kwa lugha isiyo na staa mkuu ndo sisi vijana tulivyo😁Ashukuriwe Mungu hakukuwa na HIV zaidi ya kisonono na Kaswende ambazo zilikuwa zinatibika
Kwahiyo ilikuwa ni kula vijana wanaita "Dry" tu🤪 🏃
Umeshindikana we mzee na ulienda wapi?😂Ashukuriwe Mungu hakukuwa na HIV zaidi ya kisonono na Kaswende ambazo zilikuwa zinatibika
Kwahiyo ilikuwa ni kula vijana wanaita "Dry" tu🤪 🏃