Jastin madoi
New Member
- Jan 8, 2024
- 1
- 1
Binafsi Mimi ni mdau na mtumiaji mzuri sana wa usafiri wa Treni hasa kupitia RELI ya kati itokayo DSM kuelekea Kigoma lakini kinachonishangaza nipale abiria anapokaribia kufika mwisho wa safari Huwa tiketi yake inachukuliwa na wale wakaguzi swali langu ni kwamba Ile tiketi ni Mali ya nani kati ya abiria na TRC?