Kuhusu wale wanaofahamu utapeli wa mtandaoni.
Mtu akikutumia text msg "Umepokea sh. Million saba kutoka kwa Biko" Piga namba hii ili uchukue hizo hela,
Hii ina maana gani. Ukipiga hiyo namba hawapokei. What is the racket?
Kuhusu wale wanaofahamu utapeli wa mtandaoni.
Mtu akikutumia text msg "Umepokea sh. Million saba kutoka kwa Biko" Piga namba hii ili uchukue hizo hela,
Hii ina maana gani. Ukipiga hiyo namba hawapokei. What is the racket?