fukunyungu
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 717
- 194
Kwa sasa hivi najisikitikia Ni kwa nini sikumpigia kura mh Magufuli maana kwa sasa hivi watu WA ukawa hatuna nguvu kabisa za kulisimamia tena jambo hili, Ni kwa nini basi mpaka tumefika hapa?
Jana Mh Rais alipokua akiongelea hili jambo kwa ujasiri mkubwa sisi watu WA ukawa hasa WA chadema tukawa tunaona kama tunalengwa sisi Tu, kwa nini chadema tumefikia hapa?
Tutafakari tujipangeni upya, turudi kwenye misingi yetu.....#Hapakazitu#
Jana Mh Rais alipokua akiongelea hili jambo kwa ujasiri mkubwa sisi watu WA ukawa hasa WA chadema tukawa tunaona kama tunalengwa sisi Tu, kwa nini chadema tumefikia hapa?
Tutafakari tujipangeni upya, turudi kwenye misingi yetu.....#Hapakazitu#