Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Wana JF,
Tanzania tuna ligi kuu ya vodacom na ligi nyingine kama ligi daraja la kwanza. Na kuna timu nyingi zinashiriki ligi hizo.
Ni timu gani imekuwa Bora kwa mwaka huu 2013??
Tanzania tuna ligi kuu ya vodacom na ligi nyingine kama ligi daraja la kwanza. Na kuna timu nyingi zinashiriki ligi hizo.
Ni timu gani imekuwa Bora kwa mwaka huu 2013??