Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,265
- 3,177
Ninasafiri kesho asubuhi sana. Je, nikipandia daladala za Mbezi hapa Ubungo Riverside nashukia kituo gani huko Mbezi?
Je, Daladala zinazitokea Buguruni na Mbagala kwenda Mbezi zinaishia stendi ya Magufuli/Mbezi?
Pana umbali gani kutoka stendi ya daladala Mbezi mwisho hadi stendi ya Magufuli?
Msaada wenu ndugu zangu mimi sio mtembeaji sana ndio maana nimeuliza haya.
Je, Daladala zinazitokea Buguruni na Mbagala kwenda Mbezi zinaishia stendi ya Magufuli/Mbezi?
Pana umbali gani kutoka stendi ya daladala Mbezi mwisho hadi stendi ya Magufuli?
Msaada wenu ndugu zangu mimi sio mtembeaji sana ndio maana nimeuliza haya.