Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,751
Je hicho chama kinaruhusiwa kuleta mtu mwingine?
Je uchaguzi utaahirishwa?
Je uchaguzi utaendelea sababu mda wa kuchukua form na kurudisha utakuwa umeisha?
Au watabadili sheria kama itakuwa ni mtu wa chama kilichopo madarakani.Maana hapo si itakuwa ni kama washapoteza uchaguzi
Naomba ambao wanaijua sheria ya uchaguzi
NB: Sina nia yoyote ya kumdhuru mgombea yoyote. Maana kuna wengine hawachelewi
Je uchaguzi utaahirishwa?
Je uchaguzi utaendelea sababu mda wa kuchukua form na kurudisha utakuwa umeisha?
Au watabadili sheria kama itakuwa ni mtu wa chama kilichopo madarakani.Maana hapo si itakuwa ni kama washapoteza uchaguzi
Naomba ambao wanaijua sheria ya uchaguzi
NB: Sina nia yoyote ya kumdhuru mgombea yoyote. Maana kuna wengine hawachelewi