wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,013
- 28,349
Wanakunywa na wanaugua na tena hua wanasikia hata baridi!!Naombeni mnisaidie kuhusu samaki,hivi wanakunywa maji kweli??
Wanakunywa na wanaugua na tena hua wanasikia hata baridi!!Naombeni mnisaidie kuhusu samaki,hivi wanakunywa maji kweli??
Ndio mkuu wanatoka jasho, baharini kuna samaki wakubwa sana na ni wengi ndio maana hii imesababisha maji ya bahari kuwa na chumviMaji ya nini sasa!!!!!. Kwani samaki wanatoka majasho?
NI akili yako hiyo?Hivi samaki wanakojoa?
Kama ndio basi ndio maana baharini kuna chumvi sana na pia ndio maana ziwani na mabwawani kuna kichocho sana samaki wanatuambukiza
Mtoa Maada kafariki Leo jionWanakula mpaka denda!
hawawezi pata kiu kwa sababu maji yamewazunguka..
.
NaamHivi bangi ambayo wenzetu wanatumia kama tiba ndo hii hii ya kwetu!?
Acha uongo. Samaki hawasikii baridi wala joto...Wanakunywa na wanaugua na tena hua wanasikia hata baridi!!