SWALI: HIVI APPS ZINAPOKUOMBA RUHUSA YA KU-ACCESS VITU KAMA HPONEBOOK, PICTURES, MESSEGES, etc. NI SALAMA??

vkitina

JF-Expert Member
Jan 21, 2008
202
159
Heshima kwenu wanajamvi. Nimekua nikipakua Apps za androids na nyingi ili zifanyekazi zimekua zinaomba access ya vitu kama contacts, calls log history, pictures, videos, messeges, etc. Maswali yangu kwenu ni kuwa; je ukitoa hizo access faida/hatari zake ni zipi kama zipo? Ni nini umuhimu wa developers wa hizi apps kuweka hii condition ili mtu aweze kutumia apps husika? Na kutokana na wimbi la udukuzi kuwa kubwa dunian, vipi kuhusu usalama wa taarifa zangu kwenye simu?
Nawasilisha na naomba msaada wenu.
 
Mimi naziruhusu kutegemeana na zinafanya nini haswaaaaa.. ila location karibu zote ni big no.. na contacts ndio no.1 kupiga block.. app za watanzania asilimia kubwa sanaaaaa karibu zote tunazisikia wanataka hayo na mengine mengi na location pia..
 
Shusha app zote kutoka play store maana zipo verified by play protect na trusted. Hizi pia zipe kibali kwa umakini mkubwa tena kama unaihitaji app husika ikusaidie kitu Fulani. Usiinstall app yoyote from unknown sources hapa utakua unabet usalama WA taarifa zako.
 
Mimi naziruhusu kutegemeana na zinafanya nini haswaaaaa.. ila location karibu zote ni big no.. na contacts ndio no.1 kupiga block.. app za watanzania asilimia kubwa sanaaaaa karibu zote tunazisikia wanataka hayo na mengine mengi na location pia..
Ahsante sana cocochanel
 
Shusha app zote kutoka play store maana zipo verified by play protect na trusted. Hizi pia zipe kibali kwa umakini mkubwa tena kama unaihitaji app husika ikusaidie kitu Fulani. Usiinstall app yoyote from unknown sources hapa utakua unabet usalama WA taarifa zako.
Ok! na kwa kuomba access hizo zote inawasaidiaje hawa developers?
 
Si salama, naongea kama mtu anayedevelop apps, ukiipa app ruhusa kuaccess picha zako au contacts ujue hiyo app inaweza fanya hivyo muda wowote ule na usijue. Developer akipenda anaweza beba picha na contacts zako zote wakati wowote kimya kimya akatunza kwenye server yake bila wewe kujua.

Kwa hiyo kua makini sana unapotoa permission, uaminifu ni kitu cha muhimu, apple na google wanajitahidi ndiyo kukagua apps kabla hazijawekwa playstore ila kuna nyingine hua zinapita bila kugundulika. I wish wasingekua wanatoa permission, kila muda app ikitaka kuaccess picha mfano inaomba ruhusa kila wakati, kuomba mara moja tu mwanzoni sio solution nzuri.
 
Si salama, naongea kama mtu anayedevelop apps, ukiipa app ruhusa kuaccess picha zako au contacts ujue hiyo app inaweza fanya hivyo muda wowote ule na usijue. Developer akipenda anaweza beba picha na contacts zako zote wakati wowote kimya kimya akatunza kwenye server yake bila wewe kujua.

Kwa hiyo kua makini sana unapotoa permission, uaminifu ni kitu cha muhimu, apple na google wanajitahidi ndiyo kukagua apps kabla hazijawekwa playstore ila kuna nyingine hua zinapita bila kugundulika. I wish wasingekua wanatoa permission, kila muda app ikitaka kuaccess picha mfano inaomba ruhusa kila wakati, kuomba mara moja tu mwanzoni sio solution nzuri.
Sasa nitaizuia vipi mkuu endapo ikileta option ya ku'access?
 
Sasa nitaizuia vipi mkuu endapo ikileta option ya ku'access?
ni kweli mkuu, maana kuna app km mbili hivi nilikuwa nataka kuzitumia na ziliomba full access ya vitu vingi mpaka location, nilikubali baadhi na baadhi nika deny matokeo yake zikakataa ku-install
 
Si salama, naongea kama mtu anayedevelop apps, ukiipa app ruhusa kuaccess picha zako au contacts ujue hiyo app inaweza fanya hivyo muda wowote ule na usijue. Developer akipenda anaweza beba picha na contacts zako zote wakati wowote kimya kimya akatunza kwenye server yake bila wewe kujua.

Kwa hiyo kua makini sana unapotoa permission, uaminifu ni kitu cha muhimu, apple na google wanajitahidi ndiyo kukagua apps kabla hazijawekwa playstore ila kuna nyingine hua zinapita bila kugundulika. I wish wasingekua wanatoa permission, kila muda app ikitaka kuaccess picha mfano inaomba ruhusa kila wakati, kuomba mara moja tu mwanzoni sio solution nzuri.
kwahiyo mkuu Graph unaweza ku develop app yako na usihitaji users kutoa access ya hivyo vitu na ukawa OK na app yako kama developer?
 
Si salama, naongea kama mtu anayedevelop apps, ukiipa app ruhusa kuaccess picha zako au contacts ujue hiyo app inaweza fanya hivyo muda wowote ule na usijue. Developer akipenda anaweza beba picha na contacts zako zote wakati wowote kimya kimya akatunza kwenye server yake bila wewe kujua.

Kwa hiyo kua makini sana unapotoa permission, uaminifu ni kitu cha muhimu, apple na google wanajitahidi ndiyo kukagua apps kabla hazijawekwa playstore ila kuna nyingine hua zinapita bila kugundulika. I wish wasingekua wanatoa permission, kila muda app ikitaka kuaccess picha mfano inaomba ruhusa kila wakati, kuomba mara moja tu mwanzoni sio solution nzuri.
sasa nimejua wapi wanapata namba wale waganga matapeli wanaotuma sms kila siku
 
Sasa nitaizuia vipi mkuu endapo ikileta option ya ku'access?
Ikileta option ukikataa maana yake hawawezi access picha zako, sasa kama ni app inayohitaji access ya picha kama Instagram mfano maana yake inakua useless, huna option sasa hivi zaidi ya kujaribu kuamini tu kua aliyetengeneza hiyo app hana dhumuni tofauti. Usidownload app tu ambazo haziaminiki la si hivyo utaumia.
 
kwahiyo mkuu Graph unaweza ku develop app yako na usihitaji users kutoa access ya hivyo vitu na ukawa OK na app yako kama developer?

Hakuna jinsi, permission lazima itolewe maana apps nyingi zinahitaji vitu kama location data, images, contacts, usipotoa hata moja app inakua useless. Nachosema mimi ni access ya vitu kama picha ni bora kila muda app ikitaka kuaccess uwe unaulizwa. Sasa hivi inauliza mara moja tu wakati umeinstall baada ya hapo app inakua na ruhusa 100% wakati wowote kubeba picha inavyotaka hata bila wewe kujua.
Kama developer kwangu ni convenient ndiyo lakini trust is an issue, mimi siwezi tengeneza ap nikaiba picha za watu basi tu kwa kua nina principles, ila sio developers wote wako hivyo. Wengine wanaweza kua wanabeba picha kimya kimya watu hatujui.
 
Ipe ruhusa kutokana na app yenyewe inafanya kaz gan mfano unadownload calculator afu inataka access ya picha apo inakua inaiba data pia uwe una download katika source zinazo aminika eg playstore,apkpure etc
 
Toa ruhusa tu ,kwahapa bongo ,bado hawana teknolojia ya kukomand simu ifanye wanavyotaka .... CIA tu nawengine ndo wamefaulu
 
Cha msingi angalia kama kitu ambacho app inataka access yake ni reasonable kulingana na matumizi ya app yenyewe.
Manaake app kama UBER ikikuomba access ya location ukikataa inabaki kuwa ni useless
 
Back
Top Bottom