Swali hili lijibiwe. Nani anaharibu Amani ya Tanzania. CHADEMA au CCM? CHADEMA wanataka mfumo ambao utatupatia viongozi kwa haki

Swali hili lijibiwe. Nani anaharibu Amani ya Tanzania. CHADEMA au CCM? CHADEMA wanataka mfumo ambao utatupatia viongozi kwa haki

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu.

Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
 
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu.

Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
Ni wahuni wanao haribu nchi yetu, Jeshi la Polisi, Mahakama , tra, ........
 
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu.

Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
 
CCM ndio wanaotaka kuharibu AMANI ya Nchi hii kwa kuzuia HAKI za raia kuchagua viongozi wanaowataka.
 
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu.

Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
Mpendwa haki iko mbinguni. Maslahi pamoja na mamlaka ndo kila kitu. Mtihani uko kwenye mizania ya maslahi kati ya wanasiasa. Kutafuta balance angalau kila mtu apate.
 
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu.

Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
Hayupo wa kuvuruga amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania wachapakazi,

kakundi ka waropokaji wachache wapiga mdomo hakuna kitu watafanya kuvuruga utulivu au usalama wa mTanzania yeyote.

Nchi hii inaendeshwa kwa misingi ya kisheria na kikatiba. Mkiuka sheria na katiba ya nchi yeyote yule, atashughulikiwa vilivyo tena bila huruma na vyombo vya ulinzi na usalama, na akishakua neutralize atafikishwa kwenye vyombo vya kisheria bila kuchelewa,

Yote hayo yatafanyika kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
 
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu.

Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
Hata kichaa anajua sisiem hawana nia njema na nchi hii
 
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu.

Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
Umeongea points tupu ila kuna hao wanaojiita ma CHAWA wakija hapa kitanuka
 
Tulishasema kitambo ccm ndio italeta machafuko Tanzania.
 
CCM inatawala kwa mazoea na kuweka mifumo inayoilinda kwa sasa hali si nzuri sana tunahitaji kama taifa tujitafakari.
 
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu.

Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
ukwel ni kwamba lissu ana agenda zake hayupo apo kwa ajili ya mageuzi wala nn
 
Hayupo wa kuvuruga amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania wachapakazi,

kakundi ka waropokaji wachache wapiga mdomo hakuna kitu watafanya kuvuruga utulivu au usalama wa mTanzania yeyote.

Nchi hii inaendeshwa kwa misingi ya kisheria na kikatiba. Mkiuka sheria na katiba ya nchi yeyote yule, atashughulikiwa vilivyo tena bila huruma na vyombo vya ulinzi na usalama, na akishakua neutralize atafikishwa kwenye vyombo vya kisheria bila kuchelewa,

Yote hayo yatafanyika kwa maslahi mapana ya waTanzania wote
Ahaa nchi hii ina wenyewe ,Wewe huna kazi ya kufanya 100%

Watu wengi ambao wametoka familia choka mbaya na connection hawana ndio ambao wanajifanya kuijua ccm

Wewe sio mwana ccm na wala huijui ccm
 
Ahaa nchi hii ina wenyewe ,Wewe huna kazi ya kufanya 100%

Watu wengi ambao wametoka familia choka mbaya na connection hawana ndio ambao wanajifanya kuijua ccm

Wewe sio mwana ccm na wala huijui ccm
Gentleman,
mimi ni mtaalamu mtafiti mwandamizi wa masuala ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa nchini,
Ni muhadhiri, mtumishi wa wananchi, mfanyibiashara, mkulima na mfugaji biashara ndani ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Nimepeleka sana mbuzi commoro, na nimeleta sana nguruwe dar es salaam sasa vijana wanasaidia kazi hizo za kiuchmi,

hata hivyo,
huna haja ya kubabaika sana kwamba nani ni CCM na nani sio, huo ni uamuzi, uhuru na haki ya kikatiba ya mtu binafsi,

Ni muhimu sana kufanya bidii katika kazi, ili kujiepusha na unyonge wa kiuchmi ambao unafanya vijana wengi kua wakali kama chui na wenye mihemko isiyo na maana yoyote.

Hilo ni muhimu sana kuzingatia gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom