Swali hili la Magufuli ni mwiba

Swali hili la Magufuli ni mwiba

2kimo

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,029
Reaction score
2,072
Hivi watanzania mnataka mabadiliko gani?
nadhani sasa nawaelewa Raisi wa awamu ya tano Mh. Magufuli na yule wa awamu ya tatu Mh. Mkapa.
Magufuli anauliza je mabadiliko ni kuzungusha mikono?
Mkapa anasema malofa tu hamna ukombozi wowote mnaoupigania!
Katika interview ya jana na BBC mgombea naye kwa kiasi kikubwa ameonesha ukweli juu ya maneno ya Mkapa juu ya ulofa na lile swali la msingi la magufuli!
Zuhura Yunus anauliza " kuhusu suala la ufisadi umejiandaaje kupambana na tatizo hili?"
Lowasa anasema swali hili ni gumu na refu sana linahitaji muda zaidi! majibu yake mepesi kabisa ni suluhisho la one stop centre! nadhani majibu yake sio sahihi sana, lkn kama utawaita chadema wa zamani yaani CHADEMA asili wote walikuwa wanaamini katika kuondoa mianya ya rushwa ili nchi iendelee, nadhani falsafa za operation sangara na M4C tuliziendeleza kwa kufuata misingi hii! hili la zuhura lisingekuwa swali gumu kwa Slaa, kwa kuwa aliamini na alijengeka juu ya kuleta majibu ya maswali ya matatizo ya aina hii! leo chadema masalia wao wanasema ulipo tupo, hawana principle na mgombea kwa kushindwa kujibu swali hili simply anajibu kuwa anategemea mahaba zaidi kushinda uraisi kuliko kuwa na legacy.
mwache Magufuli aulize!
maana kama uchumi ktk taifa record zinaonesha Tanzania tumepanda step 5 ktk miaka 8 iliyopita, kweli kila kitu hakitoshi lakini kama kulikuwa na jambo baya lililokuwa katika tawala 2 za mwisho za ccm ni hili la kuongezeka kwa wimbi la ufisadi, sasa kama mtu hadi anataka kuwa raisi tena amejiandaa kwa miaka 20 na hana majibu ya swali hili, then wapiga kura wake wanapaswa kupimwa akili!
naomba tujibu swali la magufuli, ni mabadiliko gani mnayoyataka?
 
Hivi watanzania mnataka mabadiliko gani? Naomba tujibu swali la magufuli, ni mabadiliko gani mnayoyataka?
Wewe na Magufuli wapuuzi tu kwa nini yeye asitoe jibu la mabadiriko anayoyauliza?
 
Wewe na Magufuli wapuuzi tu kwa nini yeye asitoe jibu la mabadiriko anayoyauliza?
taratibu bro!
Unaweza kuelezea mabadiliko please!
magufuli na mimi tunataka mapinduzi makubwa ya uchumi na uboreshwaji wa huduma za kijamii!
wote tunaamini kuwa serikali ilikuwa ktk michakato sahihi ya mapinduzi hayo lakini kasi yake hairidhishi! miongoni mwa vitu vilivyopelekea kushindwa kufikia malengo kwa kadri ilivyopangwa ni uwajibikaji mdogo wa watumishi wa umma, urasimu na ufisadi! kwa hiyo mabadiliko tunayoyaamini mimi na magufuli yanalenga zaidi katika kuongeza kasi ya maendeleo ktk nyanja hizo kwa kupambana na vikwazo vyote vilivyotajwa hapo juu, ikiwemo vita dhidi ya ufisadi! rejea mahakama ya mijizi!
ok, unaweza kujibu sasa hilo swali?
 
Ufisadi uliongezeka sana katika Awamu ya nne ya Mh. Dr. Rais Jakaya Kikwete,naomba unijibu maswali yafuatayo:-

-Wizi wa pesa za Escrow katika marumbesa ni dhahiri kabisa ila JE WAHUSIKA WALICHUKULIWA HATUA GANI? NI NANI MHUSIKA MKUU ALIYEPOKEA BIL. 72 zilizokosa mwenyewe?

-Wapo viongozi wakiokamatwa katika masuala ya ufisadi waziwazi kabisa mfano Chenge,Ngeleja,Tibaijuka n.k JE WAMECHUKULIWA HATUA IPI?
 
Hivi watanzania mnataka mabadiliko gani?
nadhani sasa nawaelewa Raisi wa awamu ya tano Mh. Magufuli na yule wa awamu ya tatu Mh. Mkapa.
Magufuli anauliza je mabadiliko ni kuzungusha mikono?
Mkapa anasema malofa tu hamna ukombozi wowote mnaoupigania!
Katika interview ya jana na BBC mgombea naye kwa kiasi kikubwa ameonesha ukweli juu ya maneno ya Mkapa juu ya ulofa na lile swali la msingi la magufuli!
Zuhura Yunus anauliza " kuhusu suala la ufisadi umejiandaaje kupambana na tatizo hili?"
Lowasa anasema swali hili ni gumu na refu sana linahitaji muda zaidi! majibu yake mepesi kabisa ni suluhisho la one stop centre! nadhani majibu yake sio sahihi sana, lkn kama utawaita chadema wa zamani yaani CHADEMA asili wote walikuwa wanaamini katika kuondoa mianya ya rushwa ili nchi iendelee, nadhani falsafa za operation sangara na M4C tuliziendeleza kwa kufuata misingi hii! hili la zuhura lisingekuwa swali gumu kwa Slaa, kwa kuwa aliamini na alijengeka juu ya kuleta majibu ya maswali ya matatizo ya aina hii! leo chadema masalia wao wanasema ulipo tupo, hawana principle na mgombea kwa kushindwa kujibu swali hili simply anajibu kuwa anategemea mahaba zaidi kushinda uraisi kuliko kuwa na legacy.
mwache Magufuli aulize!
maana kama uchumi ktk taifa record zinaonesha Tanzania tumepanda step 5 ktk miaka 8 iliyopita, kweli kila kitu hakitoshi lakini kama kulikuwa na jambo baya lililokuwa katika tawala 2 za mwisho za ccm ni hili la kuongezeka kwa wimbi la ufisadi, sasa kama mtu hadi anataka kuwa raisi tena amejiandaa kwa miaka 20 na hana majibu ya swali hili, then wapiga kura wake wanapaswa kupimwa akili!
naomba tujibu swali la magufuli, ni mabadiliko gani mnayoyataka?

Hali kwa ufupi ni mbaya. Wananchi wana hali mbaya yakimaisha ishara kwamba ccm wameshindwa. Hali ya elimu, afya, maji, kiuchumi, unataka wana nchi wafurahie?

Haiwezekani nchi inakasi ndongo mno ya maendeleo ukilinganisha na uwezo wa nchi hii.
Mfumo ccm ni hovyo kabisa kwanini tusidai mabadiliko. Mfumo ccm umeshindwa kupeleka nchi mahala pazuri, ukiwauliza, jibu ni lilelile" nchi yetu ni masikini" majibu hao yalikuwepo miaka ya nyerere mpaka leo kweli?

Ccm hawana uwezo tena wakuendesha nchi. Sio wabunifu mambo yao ni yale yale, kasi yao ileile, kwanini tusidai mabadiliko. Watu wanapiga hela tuu na wanafunzi wana kaa chini madarasani, kwanini tusidai mabadiliko?

Vyanzo vya mapato chini ya mfumo ccm vimekua vilevile, soda, wine, sigara yaani vyakipuuzi tuu nakuacha vyanzo vikubwa kupotelea mikononi mwa wawekezaji na wajanja wache ndani ya mfumo ccm.


Kuna watu ndani ya ccm wamekua ma waziri awamu zote, hakuna jipya wataleta kwa awamu ya tano chini ya ccm na magufuli. Walisha shindwa na hawana sifa na uwezo mwingine wa kuongo nchi tena. Wao wanacho fikiria ni kua na serekali ombaomba daima. Hawataki kufanya Tanzania ijitegeme kiuchumi. Kwahali hii, wenzetu wanatuacha nyuma, kwanini tusidai mabadiliko ili tuone mfumo mwingine na kwa asilimia kubwa watu wapya na mtazamo upya. Ndo maana tunataka mabadiliko.
 
taratibu bro!
Unaweza kuelezea mabadiliko please!
magufuli na mimi tunataka mapinduzi makubwa ya uchumi na uboreshwaji wa huduma za kijamii!
wote tunaamini kuwa serikali ilikuwa ktk michakato sahihi ya mapinduzi hayo lakini kasi yake hairidhishi! miongoni mwa vitu vilivyopelekea kushindwa kufikia malengo kwa kadri ilivyopangwa ni uwajibikaji mdogo wa watumishi wa umma, urasimu na ufisadi! kwa hiyo mabadiliko tunayoyaamini mimi na magufuli yanalenga zaidi katika kuongeza kasi ya maendeleo ktk nyanja hizo kwa kupambana na vikwazo vyote vilivyotajwa hapo juu, ikiwemo vita dhidi ya ufisadi! rejea mahakama ya mijizi!
ok, unaweza kujibu sasa hilo swali?

Mkuu, umemjibu huyo bavicha ukamtandika na swali naona kakimbilia porini.
 
Hivi watanzania mnataka mabadiliko gani?
nadhani sasa nawaelewa Raisi wa awamu ya tano Mh. Magufuli na yule wa awamu ya tatu Mh. Mkapa.
Magufuli anauliza je mabadiliko ni kuzungusha mikono?
Mkapa anasema malofa tu hamna ukombozi wowote mnaoupigania!
Katika interview ya jana na BBC mgombea naye kwa kiasi kikubwa ameonesha ukweli juu ya maneno ya Mkapa juu ya ulofa na lile swali la msingi la magufuli!
Zuhura Yunus anauliza " kuhusu suala la ufisadi umejiandaaje kupambana na tatizo hili?"
Lowasa anasema swali hili ni gumu na refu sana linahitaji muda zaidi! majibu yake mepesi kabisa ni suluhisho la one stop centre! nadhani majibu yake sio sahihi sana, lkn kama utawaita chadema wa zamani yaani CHADEMA asili wote walikuwa wanaamini katika kuondoa mianya ya rushwa ili nchi iendelee, nadhani falsafa za operation sangara na M4C tuliziendeleza kwa kufuata misingi hii! hili la zuhura lisingekuwa swali gumu kwa Slaa, kwa kuwa aliamini na alijengeka juu ya kuleta majibu ya maswali ya matatizo ya aina hii! leo chadema masalia wao wanasema ulipo tupo, hawana principle na mgombea kwa kushindwa kujibu swali hili simply anajibu kuwa anategemea mahaba zaidi kushinda uraisi kuliko kuwa na legacy.
mwache Magufuli aulize!
maana kama uchumi ktk taifa record zinaonesha Tanzania tumepanda step 5 ktk miaka 8 iliyopita, kweli kila kitu hakitoshi lakini kama kulikuwa na jambo baya lililokuwa katika tawala 2 za mwisho za ccm ni hili la kuongezeka kwa wimbi la ufisadi, sasa kama mtu hadi anataka kuwa raisi tena amejiandaa kwa miaka 20 na hana majibu ya swali hili, then wapiga kura wake wanapaswa kupimwa akili!
naomba tujibu swali la magufuli, ni mabadiliko gani mnayoyataka?

Mfumo wa utawala wa sasa mengine baadae
 
Hali kwa ufupi ni mbaya. Wananchi wana hali mbaya yakimaisha ishara kwamba ccm wameshindwa. Hali ya elimu, afya, maji, kiuchumi, unataka wana nchi wafurahie?

Haiwezekani nchi inakasi ndongo mno ya maendeleo ukilinganisha na uwezo wa nchi hii.
Mfumo ccm no hovyo kabisa kwanini tusidai mabadiliko. Mfumo ccm umeshindwa kupeleka nchi mahala pazuri, ukiwauliza, jibu ni lilelile" nchi yetu ni masikini" majibu hao yalikuwepo miaka ya nyerere mpaka leo.

Ccm hawana uwezo tena wakuendesha nchi. Sio wabunifu mambo yao ni yale yale, kasi yao ileile, kwanini tusidai mabadiliko. Watu wanapika hela tuu na wanafunzi wana kaa chini madarasani, kwanini tusidai mabadiliko?

Vyanzo vya mapato chini ya mfumo ccm vimekua vilevile, soda, wine, sigara yaani vyakipuuzi tuu nakuacha vyanzo vikubwa kupitelea mikononi mwa wawekezaji na wajanja wache ndani ya mfumo ccm.


Kuna watu ndani ya ccm wamekua ma waziri awamu zote, hakuna jipya wataleta kwa awamu ya tano chini ya ccm na magufuli. Walisha shindwa na hawana sifa na uwezo mwingine wa kuenda nchi tena. Wao wanacho fikiria ni kua serekali ombaomba daima. Hawata kufanya Tanzania ijitegeme kiuchumi. Kwahali hii, wenzetu wanatuacha nyuma, kwanini tusidai mabadiliko ili tuone mfumo mwingine na kwa asilimia kubwa watu wapya na mtazamo upya. Ndo maana tunataka mabadiliko.
sasa ndio unambadili Kikwete kwa Lowasa?
Ni kweli just kwa hizi wiki 10 tu Lowasa ndio amekuwa mtakatifu na tegemeo la wanyonge!
Nakumbuka ule wimbo wa "jua na mvua mnataka nini?".... jana mliitaka ccm ikamate mafisadi 11 na huyu alikuwemo, leo kaja kwenu mnamuimba tumaini eti ndiye mabadiliko mnayoyataka?
 
taratibu bro!
Unaweza kuelezea mabadiliko please!
magufuli na mimi tunataka mapinduzi makubwa ya uchumi na uboreshwaji wa huduma za kijamii!
wote tunaamini kuwa serikali ilikuwa ktk michakato sahihi ya mapinduzi hayo lakini kasi yake hairidhishi! miongoni mwa vitu vilivyopelekea kushindwa kufikia malengo kwa kadri ilivyopangwa ni uwajibikaji mdogo wa watumishi wa umma, urasimu na ufisadi! kwa hiyo mabadiliko tunayoyaamini mimi na magufuli yanalenga zaidi katika kuongeza kasi ya maendeleo ktk nyanja hizo kwa kupambana na vikwazo vyote vilivyotajwa hapo juu, ikiwemo vita dhidi ya ufisadi! rejea mahakama ya mijizi!
ok, unaweza kujibu sasa hilo swali?

Angalia haya yote yameletwa na ccm, kwanini nisidai mabadiliko na kutafuta mmbadala. Yote hao ni ndani ya miaka hamsini na nne yaani 54yrs. Kwanini tusidai mabadiliko. Hapo ni mashule, nenda kwenye afya uone vituko, nenda kwenye maji nako uone vituko, harafu unauliza kwanini ni tafute mabadiliko mwaka huu? Ccm wameshindwa kazi.
 
Ufisadi uliongezeka sana katika Awamu ya nne ya Mh. Dr. Rais Jakaya Kikwete,naomba unijibu maswali yafuatayo:-

-Wizi wa pesa za Escrow katika marumbesa ni dhahiri kabisa ila JE WAHUSIKA WALICHUKULIWA HATUA GANI? NI NANI MHUSIKA MKUU ALIYEPOKEA BIL. 72 zilizokosa mwenyewe?

-Wapo viongozi wakiokamatwa katika masuala ya ufisadi waziwazi kabisa mfano Chenge,Ngeleja,Tibaijuka n.k JE WAMECHUKULIWA HATUA IPI?
Umeeleza vizuri! hata mimi najiuliza kama wewe!
lakini majibu hayo hutoweza kuyapata kamwe kama utamchagua Lowasa!
Hatouliza na hajawahi kupanga kuuliza! ila baada ya mwaka wa kwanza tu utaongezea maswali mengine mengi tu ikiwemo na mkoa wa mtwara nani ameuuza kwa taifa X?
wewe unamaswali juu ya kero za ufisadi, na malalamiko mengi ya ukawa ni juu ya jambo hili, sasa raisi unayetaka kumchagua hana hilo jibu leo karibu siku ya 50+ za kampeni na bado siku 2 tu kabla ya kuwa na raisi mpya!
msingi wa swali unajenga hapo!
nadhani kila mtanzania mwema anataka maswali kama haya yapate majibu, lakini nasikitika kuwa utatupa kura yako na usijibiwe haya!
ila hujachelewa,kuna masaa 48 ambayo bado una nafasi ya kubadili mawazo! fanya maamuzi MAKINI, usithubutu kufanya maamuzi magumu ya kumchagua mtu ambaye hatafuti majibu ya maswali yenu, hajibu kiu yenu bali plans zake mwenyewe! mtu anayewachukia maskini, kwa kuwaibia hata kile kidogo ambacho kingewasaidia!
kuwa mwanasiasa tajiri Tanzania miaka ya 1990s wakati huna ajira yeyote,. nchi ya kijamaa na iliyokuwa na azimio la arusha ujue kweli alikuwa akichukia maskini miaka mingi! na sasa hana majibu kwa maskini mnayoyauliza, mpeni nchi mtapata majibu!
 
Wazungushe mpaka makalio wacha mikono tu. Rais ni Magufuli.

We mwanamke wa kiislam kabisa unatoa maneno machafu hivi kisa kupandwa jazba kwajili ya CCM???

HIZI DHARAU NA MATUSI YENU WANA CCM KWETU SISI WANANCHI NDIO ITAWANYIMA KURA KESHOKUTWA. Mara mnatuita wapumbavu na malofa. Nyie endeleeni tu.
 
Angalia haya yote yameletwa na ccm, kwanini nisidai mabadiliko na kutafuta mmbadala. Yote hao ni ndani ya miaka hamsini na nne yaani 54yrs. Kwanini tusidai mabadiliko. Hapo ni mashule, nenda kwenye afya uone vituko, nenda kwenye maji nako uone vituko, harafu unauliza kwanini ni tafute mabadiliko mwaka huu? Ccm wameshindwa kazi.
Maendeleo ni milestone, unless umepata ile pete ya jini ukaomba kuwe na shule za kisasa nchi nzima!
Maeneo tofauti ya nchi yanakuwa kwa kasi tofauti, inawezekana miaka 54 iliyopita hao wanaoishi maeneo hayo hawakuwa na shule wala mwalimu, leo wameanza kucreate demand, next move ni kuwajengea shule!
Lacuna failure ya taiga hili inajengwa na vilaza mnaoamini kuwa serikali inapaswa kufanya kila kitu! watanzania wenye neema, wanapaswa kuchangia maendeleo!
Hii ni roho mbaya au uvivu wa kufikiri kwa watanzania wengi wanaoamini raisi atawapa pesa, raisi atasema nachukia umaskini then atawafanya wawe matajiri kwa kuwalipa, kugawana au kuwanunua wananchi watakaokuwa upande wake!
Miaka 54 kama tupo hapo maana yake tumefeli wote!
Mtanzania unawezaje kuwa na maghorofa 6, gari 8 lkn kijijijni kwenu hujanunua hata dawati 1 kwa shule ya kwenu? unasubiri serikali ilete kila kitu, so what is your role kama citizen, kupiga porojo jf na kuvote baasi!
 
Umeeleza vizuri! hata mimi najiuliza kama wewe!
lakini majibu hayo hutoweza kuyapata kamwe kama utamchagua Lowasa!
Hatouliza na hajawahi kupanga kuuliza! ila baada ya mwaka wa kwanza tu utaongezea maswali mengine mengi tu ikiwemo na mkoa wa mtwara nani ameuuza kwa taifa X?
wewe unamaswali juu ya kero za ufisadi, na malalamiko mengi ya ukawa ni juu ya jambo hili, sasa raisi unayetaka kumchagua hana hilo jibu leo karibu siku ya 50+ za kampeni na bado siku 2 tu kabla ya kuwa na raisi mpya!
msingi wa swali unajenga hapo!
nadhani kila mtanzania mwema anataka maswali kama haya yapate majibu, lakini nasikitika kuwa utatupa kura yako na usijibiwe haya!
ila hujachelewa,kuna masaa 48 ambayo bado una nafasi ya kubadili mawazo! fanya maamuzi MAKINI, usithubutu kufanya maamuzi magumu ya kumchagua mtu ambaye hatafuti majibu ya maswali yenu, hajibu kiu yenu bali plans zake mwenyewe! mtu anayewachukia maskini, kwa kuwaibia hata kile kidogo ambacho kingewasaidia!
kuwa mwanasiasa tajiri Tanzania miaka ya 1990s wakati huna ajira yeyote,. nchi ya kijamaa na iliyokuwa na azimio la arusha ujue kweli alikuwa akichukia maskini miaka mingi! na sasa hana majibu kwa maskini mnayoyauliza, mpeni nchi mtapata majibu!

Mkuu unaeleza meeengi lakini hujajibu swali langu basically,lakini pia unajua kwanini nitamchagua EDWARD LOWASSA? Ni kwasababu:-

-Mada yako imeongelea suala la Ufisadi, lakini chama chako cha CCM kimeshindwa kuwashuhulikia waliokamatwa kwa wizi na ufisadi wa fedha nyingi za umma na ushahidi upo. Kwahivyo wacha tuwape wapinzani sasa.

The best I can say ni kuwa that Fear of Unknown haipo kwangu...naangalia hali halisi.
 
Mkuu unaeleza meeengi lakini hujajibu swali langu basically,lakini pia unajua kwanini nitamchagua EDWARD LOWASSA? Ni kwasababu:-

-Mada yako imeongelea suala la Ufisadi, lakini chama chako cha CCM kimeshindwa kuwashuhulikia waliokamatwa kwa wizi na ufisadi wa fedha nyingi za umma na ushahidi upo. Kwahivyo wacha tuwape wapinzani sasa.

The best I can say ni kuwa that Fear of Unknown haipo kwangu...naangalia hali halisi.
chama kimeshindwa kushughulikia mafisadi wakati huyo wa kwenu amekatwa baada ya gamba kumng'ang'ania!
si unajua alishindwa kuvua!
ila sidhani kama mahakamani atakosekana baada ya mahakama yao kufunguliwa!
 
chama kimeshindwa kushughulikia mafisadi wakati huyo wa kwenu amekatwa baada ya gamba kumng'ang'ania!
si unajua alishindwa kuvua!
ila sidhani kama mahakamani atakosekana baada ya mahakama yao kufunguliwa!

Sawa,JIBU SWALI LANGU BASI KUWA:-

-Nani Mhusika mkuu wa ESCROW na zile bil.72 nani alizichukua?

-Mafisadi wengine hao niliowataja MMEWASHUHULIKIAJE?

Na mjue watanzania wa sasahv HATUDANGANYIKI TENA!!!.
 
Back
Top Bottom