snochet JF-Expert Member Joined Mar 31, 2011 Posts 1,486 Reaction score 1,272 Sep 11, 2012 #1 Je kwenye kifo,ni watu gani wanastahili kuitwa hayati na sio marehemu,,,wanaangalia vigezo gani? Namna huyo mhusika alikufa nayo inazingatiwa katika kuitwa hayati au marehemu? Kama vile labda kauawa ama kafariki mwenyewe.
Je kwenye kifo,ni watu gani wanastahili kuitwa hayati na sio marehemu,,,wanaangalia vigezo gani? Namna huyo mhusika alikufa nayo inazingatiwa katika kuitwa hayati au marehemu? Kama vile labda kauawa ama kafariki mwenyewe.