Swali gumu kwa Atheists

Nashindwa kuelewa kwa nini hapa kwenye forum yetu pendwa kuna atheists ( wasioamini Mungu) lakini hoja hii ya rafiki yangu Josh Heschmeyer nimeileta hapa muda mrefu sana hakuna anayejibu. What conclusion shoud I draw?
 
Nashindwa kuelewa kwa nini hapa kwenye forum yetu pendwa kuna atheists ( wasioamini Mungu) lakini hoja hii ya rafiki yangu Josh Heschmeyer nimeileta hapa muda mrefu sana hakuna anayejibu. What conclusion shoud I draw?
Mungu wa kwenye biblia ama quran hayupo. Achana na hizo stori zisizo na kichwa wala miguu hakuna cha mungu wala shetani
 
Nashindwa kuelewa kwa nini hapa kwenye forum yetu pendwa kuna atheists ( wasioamini Mungu) lakini hoja hii ya rafiki yangu Josh Heschmeyer nimeileta hapa muda mrefu sana hakuna anayejibu. What conclusion shoud I draw?
Video ni ya dk 46 mkuu. Tufupishie hoja za msingi kwa aya chache, tupo.
 
Swali linaloulizwa ni WHY IS THERE SOMETHING RATHER THAN NOTHING. Ingekuwa vizuri ukiisikiliza.
Mimi sijui niko wapi, ni mchanganyiko wa agnosticism, atheism, na ignosticism😂

sibishi kwamba ulimwengu unaweza ukawa umembwa na nguvu flani ya juu. ninachobisha ni kwamba hiyo nguvu haiendani kimantiki na maana ya neno 'mungu' tunayoijua sisi.

Kina Yahweh, Allah, na Buddah, ni rahisi kupinga uwepo wao, kuna hoja za kutosha

Lakini 'a cosmic being' nakosa kiswahili chake, huwezi jua kama yupo au la.
 
Mimi sijui niko wapi, ni mchanganyiko wa agnosticism, atheism, na ignosticism😂

sibishi kwamba ulimwengu unaweza ukawa umembwa na nguvu flani ya juu. ninachobisha ni kwamba hiyo nguvu haiendani kimantiki na maana ya neno 'mungu' tunayoijua sisi.

Kina Yahweh, Allah, na Buddah, ni rahisi kupinga uwepo wao, kuna hoja za kutosha

Lakini 'a cosmic being' nakosa kiswahili chake, huwezi jua kama yupo au la.
Try Nihilism😄
 
Mimi sijui niko wapi, ni mchanganyiko wa agnosticism, atheism, na ignosticism😂

sibishi kwamba ulimwengu unaweza ukawa umembwa na nguvu flani ya juu. ninachobisha ni kwamba hiyo nguvu haiendani kimantiki na maana ya neno 'mungu' tunayoijua sisi.

Kina Yahweh, Allah, na Buddah, ni rahisi kupinga uwepo wao, kuna hoja za kutosha

Lakini 'a cosmic being' nakosa kiswahil

Mimi sijui niko wapi, ni mchanganyiko wa agnosticism, atheism, na ignosticism😂

sibishi kwamba ulimwengu unaweza ukawa umembwa na nguvu flani ya juu. ninachobisha ni kwamba hiyo nguvu haiendani kimantiki na maana ya neno 'mungu' tunayoijua sisi.

Kina Yahweh, Allah, na Buddah, ni rahisi kupinga uwepo wao, kuna hoja za kutosha

Lakini 'a cosmic being' nakosa kiswahili chake, huwezi jua kama yu

Mimi sijui niko wapi, ni mchanganyiko wa agnosticism, atheism, na ignosticism😂

sibishi kwamba ulimwengu unaweza ukawa umembwa na nguvu flani ya juu. ninachobisha ni kwamba hiyo nguvu haiendani kimantiki na maana ya neno 'mungu' tunayoijua sisi.

Kina Yahweh, Allah, na Buddah, ni rahisi kupinga uwepo wao, kuna hoja za kutosha

Lakini 'a cosmic being' nakosa kiswahili chake, huwezi jua kama yupo au la.
mimi nashindwa kuelewa,wa2 wengi sana wanaamini uwepo wa hayawani shetani,lakini wengi hawaamini uwepo wa MWENYE-ENZI MUNGU!!!!,,,,sijui kwa nini???? lakini wanashindwa kujiuliza mbona bin adamu ana akili ya kuvumbua vitu kila siku,anaenda shule,anatwala viumbe vyote na wan utaratibu wa kujitawala tofauti na mbuzi????......mbona mbuzi hawaendi shule?mbuzi haohao hawavai nguo wala hawaoni aibu kujaamiana hadharani wakati binadamu tunajisitiri!!!!,,,,,mbona mbuzi uwezi kukuta wamekaa sehemu wakipiga strori,wala wakilamba masanga????,,,,,,binadamu akinyanyaswa wanajiunga na kutengeneza kikosi tayari kwa vita,lakini mbona mbuzi hawatengezi kikosi cha vita!!! labda mmoja tu akionewa ndio anapambana tena na wanyama wenzake,,na silaha yao haibadiliki ni vichwa wakati binadamu sasa tupo kwnye nyuklia,,,haya mambo yenu ya kutoamini uwepo wa MUNGU ndo mambo ya ajabu yanahalalishwa sas kama ushoga,,why?? wa2 hawaogopi tena!!!,,,na nina uhakika asilimia mia!!! hakuna shoga wala basha anaeamini uwepo wa MUNGU!!!!
 
mimi nashindwa kuelewa,wa2 wengi sana wanaamini uwepo wa hayawani shetani,lakini wengi hawaamini uwepo wa MWENYE-ENZI MUNGU!!!!,,,,sijui kwa nini???? lakini wanashindwa kujiuliza mbona bin adamu ana akili ya kuvumbua vitu kila siku,anaenda shule,anatwala viumbe vyote na wan utaratibu wa kujitawala tofauti na mbuzi????......mbona mbuzi hawaendi shule?mbuzi haohao hawavai nguo wala hawaoni aibu kujaamiana hadharani wakati binadamu tunajisitiri!!!!,,,,,mbona mbuzi uwezi kukuta wamekaa sehemu wakipiga strori,wala wakilamba masanga????,,,,,,binadamu akinyanyaswa wanajiunga na kutengeneza kikosi tayari kwa vita,lakini mbona mbuzi hawatengezi kikosi cha vita!!! labda mmoja tu akionewa ndio anapambana tena na wanyama wenzake,,na silaha yao haibadiliki ni vichwa wakati binadamu sasa tupo kwnye nyuklia,,,haya mambo yenu ya kutoamini uwepo wa MUNGU ndo mambo ya ajabu yanahalalishwa sas kama ushoga,,why?? wa2 hawaogopi tena!!!,,,na nina uhakika asilimia mia!!! hakuna shoga wala basha anaeamini uwepo wa MUNGU!!!!
Binadamu amepitia mageuzi akawa sentient(akapata utashi)

Mashoga wanaoamini uwepo wa Mungu wapo sana tu, sema nimeshaona unaelekea wapi, huu mjadala hauna afya
 
mimi nashindwa kuelewa,wa2 wengi sana wanaamini uwepo wa hayawani shetani,lakini wengi hawaamini uwepo wa MWENYE-ENZI MUNGU!!!!,,,,sijui kwa nini???? lakini wanashindwa kujiuliza mbona bin adamu ana akili ya kuvumbua vitu kila siku,anaenda shule,anatwala viumbe vyote na wan utaratibu wa kujitawala tofauti na mbuzi????......mbona mbuzi hawaendi shule?mbuzi haohao hawavai nguo wala hawaoni aibu kujaamiana hadharani wakati binadamu tunajisitiri!!!!,,,,,mbona mbuzi uwezi kukuta wamekaa sehemu wakipiga strori,wala wakilamba masanga????,,,,,,binadamu akinyanyaswa wanajiunga na kutengeneza kikosi tayari kwa vita,lakini mbona mbuzi hawatengezi kikosi cha vita!!! labda mmoja tu akionewa ndio anapambana tena na wanyama wenzake,,na silaha yao haibadiliki ni vichwa wakati binadamu sasa tupo kwnye nyuklia,,,haya mambo yenu ya kutoamini uwepo wa MUNGU ndo mambo ya ajabu yanahalalishwa sas kama ushoga,,why?? wa2 hawaogopi tena!!!,,,na nina uhakika asilimia mia!!! hakuna shoga wala basha anaeamini uwepo wa MUNGU!!!!
Kama nimekuelewa hapa hoja yako ni kuwa kwa vile binaadam amaeadvance in knowledge na uwezo kulinganisha na Wanyama kama mbuzi... basi hiyo ina halalisha uwepo wa MUNGU.
Kama ni hivyo huyu MUNGU ni wa binadamu tuu na hausiki na wanyama wengine? Au inakuwaje? Kwa nini iwe ni binadamu tuu na sip viumbe wote wapate hiyo Baraka ya kuadvance in knowledge and ability??
Huoni kuwa hii hoja yako inaweza kuwapa nguvu wanaoamini vinginevyo na wewe??
Swali litakuja kwa nini huyu MUNGU Kama yupo ameviacha viumbe vingine hivyo vilivyo na vingine kwenye hali ya kuteseka ili wengine waishi??
 
1704227878294.png
 
Back
Top Bottom