Haina haja ya kujiuliza, kama umepita depo utaelewaWana jamvi nawaomba tuitafutie hii picha maana yake maana mimi nimetoka kapa. View attachment 1381490
In God we Trust
Hivyo vikwazo si haba bwashee!Wana jamvi nawaomba tuitafutie hii picha maana yake maana mimi nimetoka kapa. View attachment 1381490
In God we Trust
hahaaa! kweli huu ni ubunifu haswaa wenye maana kubwa sanaWana jamvi nawaomba tuitafutie hii picha maana yake maana mimi nimetoka kapa. View attachment 1381490
In God we Trust
Mmawia, kesho yetu siyo njema, naogopa sana! definitely kesi haina ushahidi, lkn kwa kauli za Bashiru, nitakutafuta kesho.Habari ya hukumu hiyo tuiwache kwa jaji na mahakama hapa tupo na kipanya
In God we Trust
Mbowe: Natamani mrithi wangu atoke Bawacha!Mlivyotaka kuondoa uhai wake hamkujua kuwa naye ana haki ya kuviruka hivyo vikwazo?
In God we Trust
Nakumbushia tu Wangwe!Kwani kuna ubaya gani hapo? Hiyo nayo ni habari kwa jamii?
In God we Trust
Sumu haionjwi bwashee!R. I. P Filikunjombe
In God we Trust
Mmawia, kesho yetu siyo njema, naogopa sana! definitely kesi haina ushahidi, lkn kwa kauli za Bashiru, nitakutafuta kesho.
Kama una charge sheet ya kesi hiyo niwekee hapa please
Mchochea moto wa tanuru!Wanapitia katika tanuru la moto kuelekea 2020!