Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia