Swali fikirishi: Unapataje taarifa za ndani kuhusu nchi yetu kudaiwa kama huhusiki kuishtaki nchi yako?

jaruri

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
716
459
Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atafumbua.Ningependa nitumie fursa hii kutafakari mambo mawili matatu kwa kina.Siku mbili zilizopita Mheshimiwa Lisu amesikika akizungumzia nchi yetu kuingia mgogoro na kampuni ya Canada na hivyo kupelekea ndege yetu kuzuiwa isije mpaka kesi ya msingi itakapo sikilizwa.

Kwanza niwatoe hofu watanzania kuwa mgogoro ni jambo la kawaida na kila mahusiano ya binadamu wa kawaida wenye akili timamu za kufikiri kutofautiana ni jambo la kawaida.Kwa mujibu wake(LISU) anasema tuliingia katika mgogoro baada ya kuvunja mkataba na kampuni moja ya ujenzi na hivyo kampuni hii kutushtaki,ok fine kosa ni lipi ? kuvunja mkataba na kampuni ambayo ilikosa vigezo stahiki kuendelea na mkataba? Na mkataba ulivunjwa kwa manufaa ya nani? Jibu ni kuwa ni kwa manufaa ya watanzania.Kila binadamu mwenye akili timamu huwa tayari kufanya maamuzi magumu na wakati mwingine kuna changamoto zake.

Mi binafsi sioni kosa katika hili maana tulikuwa na haki ya kufanya hivyo na kama tulishindwa kesi baada ya kampuni hii kukata rufaa haimaanishi hatukuwa na haki, kumbuka hakimu ni mzungu mwenzao na maamuzi lazima yange wapendelea wao.Sasa wewe mtanzania mwennzangu unaposhangilia na kuita media kuzungumzia hili suala kwa bashasha na mbwembwe zote unafanya hiivyo kwa maufaa ya nani?

Ningekuwa wewe kabla sijaita media ningejifungia chumbani nikalia kwanza and then ningemtafuta mheshiwa Rais kwa simu tungeongea kama ndugu nimpe mawazo na msaada wa kisheria on the way forward kwa kuwa tatizo limeshatokea na kinachotakiwa ni namna ya kutoka hapa na kuenda mbele.Nina uhakika Mheshimiwa Rais angekusikiliza na angesikia ushauri wako.

Najua wengine mnaweza jiuliza kuwa kwa nini serikali iliamua kukaa kimya kuhusu hili suala.Kama baba wa familia huwezi kuwa unazungumza kila kila kitu.Kuna vitu kama baba unatakiwa uvimalize mwenyewe ki-utuuzima bila kuwahusisha watoto ili kuondoa panic zisizo na sababu.

Mwisho inawezekana kweli tunadaiwa baada ya kuvunja mkataba na kampuni ambayo kimsingi ilistahili kuvunjiwa mkataba.Wakaenda mahakamani wakashinda,That does not mean we were wrong kuvunja mkataba in the first place.Kesi zina maamuzi ya ajabu unaweza kuwa na haki lakini kutokana na rushwa ukashindwa.Does that mean uovu umeshinda wema? Does it mean uwe mnyonge na ukubaliane na situation yoyote kandamizi katika maisha yako?

I think hatukukosea na tuko kwenye right truck. Hii changamoto itapita na heshima yetu kama nchi itaendelea kuwepo.
You can buy anything with money even you can be bought, but not our dignity as a Nation

Long live JP;Hapa kazi tu
 
..taarifa kuhusu kesi/mashauri yanayopelekwa mbele ya msuluhishi wa kimataifa zinapatikana ktk mtandao.

..vilevile kama nchi yetu inashtakiwa au inadaiwa mahali popote sisi wenye nchi/walipa kodi tunatakiwa tupewe taarifa.

..pia deni tunadaiwa tangu mwaka 2010. Kwanini waliosababisha deni hili hawatoi taarifa kwa umma ambao ndiyo walipaji?

..wahusika waliofanya deni hili siri wana uwezo wa kulipa toka mfukoni mwao ili iwe siri? Kama hawana uwezo kwanini wanatuficha wananchi?

..Binafsi ninawasamehe kwa kuvunja mkataba. Inawezekana walifanya kwa nia njema na uadilifu.

..Lakini hili la kutolipa deni tangu 2010 na kusababisha tuingie gharama kubwa zaidi ktk kulipa RIBA nashauri wahusika washtakiwe kwa kutumia madaraka yao vibaya na kuliingiza taifa ktk hasara.
 
Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atafumbua.Ningependa nitumie fursa hii kutafakari mambo mawili matatu kwa kina.Siku mbili zilizopita Mheshimiwa Lisu amesikika akizungumzia nchi yetu kuingia mgogoro na kampuni ya Canada na hivyo kupelekea ndege yetu kuzuiwa isije mpaka kesi ya msingi itakapo sikilizwa.
Kwanza niwatoe hofu watanzania kuwa mgogoro ni jambo la kawaida na kila mahusiano ya binadamu wa kawaida wenye akili timamu za kufikiri kutofautiana ni jambo la kawaida.Kwa mujibu wake(LISU) anasema tuliingia katika mgogoro baada ya kuvunja mkataba na kampuni moja ya ujenzi na hivyo kampuni hii kutushtaki,ok fine kosa ni lipi ? kuvunja mkataba na kampuni ambayo ilikosa vigezo stahiki kuendelea na mkataba? Na mkataba ulivunjwa kwa manufaa ya nani? Jibu ni kuwa ni kwa manufaa ya watanzania.Kila binadamu mwenye akili timamu huwa tayari kufanya maamuzi magumu na wakati mwingine kuna changamoto zake.

Mi binafsi sioni kosa katika hili maana tulikuwa na haki ya kufanya hivyo na kama tulishindwa kesi baada ya kampuni hii kukata rufaa haimaanishi hatukuwa na haki, kumbuka hakimu ni mzungu mwenzao na maamuzi lazima yange wapendelea wao.Sasa wewe mtanzania mwennzangu unaposhangilia na kuita media kuzungumzia hili suala kwa bashasha na mbwembwe zote unafanya hiivyo kwa maufaa ya nani?
Ningekuwa wewe kabla sijaita media ningejifungia chumbani nikalia kwanza and then ningemtafuta mheshiwa Rais kwa simu tungeongea kama ndugu nimpe mawazo na msaada wa kisheria on the way forward kwa kuwa tatizo limeshatokea na kinachotakiwa ni namna ya kutoka hapa na kuenda mbele.Nina uhakika Mheshimiwa Rais angekusikiliza na angesikia ushauri wako.

Najua wengine mnaweza jiuliza kuwa kwa nini serikali iliamua kukaa kimya kuhusu hili suala.Kama baba wa familia huwezi kuwa unazungumza kila kila kitu.Kuna vitu kama baba unatakiwa uvimalize mwenyewe ki-utuuzima bila kuwahusisha watoto ili kuondoa panic zisizo na sababu.

Mwisho inawezekana kweli tunadaiwa baada ya kuvunja mkataba na kampuni ambayo kimsingi ilistahili kuvunjiwa mkataba.Wakaenda mahakamani wakashinda,That does not mean we were wrong kuvunja mkataba in the first place.Kesi zina maamuzi ya ajabu unaweza kuwa na haki lakini kutokana na rushwa ukashindwa.Does that mean uovu umeshinda wema? Does it mean uwe mnyonge na ukubaliane na situation yoyote kandamizi katika maisha yako?
I think hatukukosea na tuko kwenye right truck. Hii changamoto itapita na heshima yetu kama nchi itaendelea kuwepo.
You can buy anything with money even you can be bought, but not our dignity as a Nation

Long live JP;Hapa kazi tu
Free mind@Jaruri
0712207633
Hivi ni maamuzi gani huyu mtukufu aliamua akafanikiwa?? Kituo cha mafuta Mwanza??
Barabara ya kwenda Bagamoyo!!
Samaki?
Boti ya bagamoyo!!
Makinikia??
Bado hamtii mashaka ya haya maamuzi ya kuto fuata sheria??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atafumbua.Ningependa nitumie fursa hii kutafakari mambo mawili matatu kwa kina.Siku mbili zilizopita Mheshimiwa Lisu amesikika akizungumzia nchi yetu kuingia mgogoro na kampuni ya Canada na hivyo kupelekea ndege yetu kuzuiwa isije mpaka kesi ya msingi itakapo sikilizwa.
Kwanza niwatoe hofu watanzania kuwa mgogoro ni jambo la kawaida na kila mahusiano ya binadamu wa kawaida wenye akili timamu za kufikiri kutofautiana ni jambo la kawaida.Kwa mujibu wake(LISU) anasema tuliingia katika mgogoro baada ya kuvunja mkataba na kampuni moja ya ujenzi na hivyo kampuni hii kutushtaki,ok fine kosa ni lipi ? kuvunja mkataba na kampuni ambayo ilikosa vigezo stahiki kuendelea na mkataba? Na mkataba ulivunjwa kwa manufaa ya nani? Jibu ni kuwa ni kwa manufaa ya watanzania.Kila binadamu mwenye akili timamu huwa tayari kufanya maamuzi magumu na wakati mwingine kuna changamoto zake.

Mi binafsi sioni kosa katika hili maana tulikuwa na haki ya kufanya hivyo na kama tulishindwa kesi baada ya kampuni hii kukata rufaa haimaanishi hatukuwa na haki, kumbuka hakimu ni mzungu mwenzao na maamuzi lazima yange wapendelea wao.Sasa wewe mtanzania mwennzangu unaposhangilia na kuita media kuzungumzia hili suala kwa bashasha na mbwembwe zote unafanya hiivyo kwa maufaa ya nani?
Ningekuwa wewe kabla sijaita media ningejifungia chumbani nikalia kwanza and then ningemtafuta mheshiwa Rais kwa simu tungeongea kama ndugu nimpe mawazo na msaada wa kisheria on the way forward kwa kuwa tatizo limeshatokea na kinachotakiwa ni namna ya kutoka hapa na kuenda mbele.Nina uhakika Mheshimiwa Rais angekusikiliza na angesikia ushauri wako.

Najua wengine mnaweza jiuliza kuwa kwa nini serikali iliamua kukaa kimya kuhusu hili suala.Kama baba wa familia huwezi kuwa unazungumza kila kila kitu.Kuna vitu kama baba unatakiwa uvimalize mwenyewe ki-utuuzima bila kuwahusisha watoto ili kuondoa panic zisizo na sababu.

Mwisho inawezekana kweli tunadaiwa baada ya kuvunja mkataba na kampuni ambayo kimsingi ilistahili kuvunjiwa mkataba.Wakaenda mahakamani wakashinda,That does not mean we were wrong kuvunja mkataba in the first place.Kesi zina maamuzi ya ajabu unaweza kuwa na haki lakini kutokana na rushwa ukashindwa.Does that mean uovu umeshinda wema? Does it mean uwe mnyonge na ukubaliane na situation yoyote kandamizi katika maisha yako?
I think hatukukosea na tuko kwenye right truck. Hii changamoto itapita na heshima yetu kama nchi itaendelea kuwepo.
You can buy anything with money even you can be bought, but not our dignity as a Nation

Long live JP;Hapa kazi tu
Free mind@Jaruri
0712207633
Huoni athari za kuvunja mkataba? Nini maana ya mkataba na kwanini tilikubali kuingia huo mkataba? Hakuna cha wazungu au black, huko kwenye mahakama mkataba unachambuliwa kipengere kwa kipengere. Wanasheria wetu wa serikali ni watoto wa vigogo, wavivu na weupe. Je masamaki nae hakimu alikuwa mzungu?
 
Njaa na kutafuta vyeo zitawaua kwa kujifanya wajinga maana sitaki kuamini ni wajinga kiasi hiki.

Mnajitoa akili kabisa kama vile hamumjui huyu mtu kwa kukurupuka.

Juzi tu hapa kasema mwekezaji afutiwe leseni na sehemu yake liekwe tanki la maji. Akienda mahakamani na kulipwa fidia kosa la nani?

Si siku nyingi kasema atawanyanganya watu sukari awape maskini. Mkashangilia na mpaka leo mnasubiri hiyo sukari.

Tatizo mnafanya uongozi ni utawala wa kiimla kwamba nyie ndiye hakimu, DPP na kila kitu. Mtamaliza kodi zote kwenye fidia.
 
..taarifa kuhusu kesi/mashauri yanayopelekwa mbele ya msuluhishi wa kimataifa zinapatikana ktk mtandao.


..vilevile kama nchi yetu inashtakiwa au inadaiwa mahali popote sisi wenye nchi/walipa kodi tunatakiwa tupewe taarifa.

..pia deni tunadaiwa tangu mwaka 2010. Kwanini waliosababisha deni hili hawatoi taarifa kwa umma ambao ndiyo walipaji?

..wahusika waliofanya deni hili siri wana uwezo wa kulipa toka mfukoni mwao ili iwe siri? Kama hawana uwezo kwanini wanatuficha wananchi?

..Binafsi ninawasamehe kwa kuvunja mkataba. Inawezekana walifanya kwa nia njema na uadilifu.

..Lakini hili la kutolipa deni tangu 2010 na kusababisha tuingie gharama kubwa zaidi ktk kulipa RIBA nashauri wahusika washtakiwe kwa kutumia madaraka yao vibaya na kuliingiza taifa ktk hasara.
That is very true.

Tena mahakama yao wanayostahili ni hii ambayo maccm waliifungua kwa mbwembe nyingi yaani mahakama ya mafisadi......

Ambapo maccm hao hao wametwambia kuwa eti mahakama hiyo imekosa watuhumiwa wa kupelekwa huko!!!!
 
..taarifa kuhusu kesi/mashauri yanayopelekwa mbele ya msuluhishi wa kimataifa zinapatikana ktk mtandao.


..vilevile kama nchi yetu inashtakiwa au inadaiwa mahali popote sisi wenye nchi/walipa kodi tunatakiwa tupewe taarifa.

..pia deni tunadaiwa tangu mwaka 2010. Kwanini waliosababisha deni hili hawatoi taarifa kwa umma ambao ndiyo walipaji?

..wahusika waliofanya deni hili siri wana uwezo wa kulipa toka mfukoni mwao ili iwe siri? Kama hawana uwezo kwanini wanatuficha wananchi?

..Binafsi ninawasamehe kwa kuvunja mkataba. Inawezekana walifanya kwa nia njema na uadilifu.

..Lakini hili la kutolipa deni tangu 2010 na kusababisha tuingie gharama kubwa zaidi ktk kulipa RIBA nashauri wahusika washtakiwe kwa kutumia madaraka yao vibaya na kuliingiza taifa ktk hasara.


Chief,

Kwahiyo unakubaliana na wengi kwamba Tundu Lissu ambae anatafuta umaarufu kwa kuyumbusha serikali ya raisi John Magufuli amekosea.

Amekosea kwasababu deni ni la mwaka 2010 na raisi John Magufuli amelikuta na akataka kununua ndege ambazo hasihusiani na deni la mwaka 2010.

Na kwa mujibu wa waziri Mahiga, deni hili ni la tangu mwaka 2009!

Kwanini huyu Tundu Lissu ambae sasa anaaminika kwamba ni kibaraka wa wazungu anataka kudhoofusha juhudi za serikali hii kununua ndege zake?
 
Back
Top Bottom