witzone2
JF-Expert Member
- Jan 14, 2022
- 780
- 1,633
Je, Russia ana uwezo wa kiwawekea vikwazo NATO na USA kama walivyomuwekea yeye?
Je, kati ya Russia na NATO na USA nani anamhitaji mwingne kimaslahi zaidi.
Je, Russia ana uwezo wa kuwapiga ban ya gesi, mafuta na mbolea ya kutokuwauzia kabisa NATO na USA?
Jeuri hiyo anayo?
Je, kati ya Russia na NATO na USA nani anamhitaji mwingne kimaslahi zaidi.
Je, Russia ana uwezo wa kuwapiga ban ya gesi, mafuta na mbolea ya kutokuwauzia kabisa NATO na USA?
Jeuri hiyo anayo?