Swali dogo ila majibu lukuki!!

Swali dogo ila majibu lukuki!!

luv over hate

Member
Joined
Apr 20, 2017
Posts
55
Reaction score
39
Juz kati nimepoteza muda wangu kukuckiliza Bw. Bashite nikifiri labda utanena jambo la mbolea......yaani mmmh, we fanya kurudia tu O-level !!

Yaani swali fupi na dogo tu unaulizwa...unaanza kuleta habari za kuconnect doti, mara oooh kipindi nipo wapi niliwahi kusomea mambo ya nn sijui....hahhah hah

We Jibu ulifanya uvamizi au hukufanya!.. Achaga porojo...
 
Ukweli hauhitaji kufikiria.,, Izo ni dalili za uongo., kuzunguka zunguka kichaka badala ya kupita direct uwakate kauli...!!!
 
unawezakuta mtu yule amekuzidi IQ! lbd kajibu kimafumbo! ila kwa uzito wa akili yako umeshindwa kuelewa..
tatizo wengi wenu mtu huyu mmemchukia hata akisemacho mnakichukia kichukichuki! hata atendacho kwa akili hiyo huo si mzani unaostahiri kupima hata tone la mavi! maana utalichukia kwasababu unaona ni mavi sasa utapimaje..?
 
Wanasaikolojia hatuhitaji kuona cheti tena,kwa yale mahojiano ni dhahiri hakipo!
 
MWALIMU: mwanafunzi 1+1 sawa sawa na ngapi?

Bashite: vita ya madawa ya kulevya haijawahi kumuacha mtu salama
 
Moja kati ya vitu vya ajabu navyoviona ni mwanafunzi kupata div 0 !!!!
 
Back
Top Bottom