MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Sitaki kuaminu sana kwamba kinachochelewesha kupatikana kwa mgombea wa UKAWA kunacheleweshwa na kutokukubaliana kwa wanachama wa kawaida ndani ya chama cha CUF na uongozi wa juu! Walishasema watatoa msimamo wao ifikapo tar 25/07/2015.
Hii inasemekana ni kutokana na wanachama wa kawaida kudai kwamba hawana maridhiano na uongozi wao wa juu kuhusu makubaliano wanayoyafanya na viongozi wenza wa UKAWA.wanadai makubaliano ya mgawo wa viti vya uwakilishi wa wabunge na madiwani hauko sawia!
Awali langu kwa WanaCUF;
Je, kuwepo kwenu UKAWA kwa sasa na mkafikia makubaliano yenu faida na hasara ni zipi kulinganisha na miaka ya nyuma hasa?
Je,Mnaburuzwa vipi na CHADEMA kama utaratibu ulikua ni kuangalia ushindi wa 2010 pamoja na kukubalika kwa chama mahali husika?
Je, hamuoni kuendelea kutilia shaka viongozi wenu wa juu kuhusu majadiliano yao na viongozi wenza wa UKAWA mnawapa mwanya maadui wa mabadiliko kupenya?
Je, Hamshtuki kwamba ndani ya chama chenu kuna watu ndumilakuwili na tayari ni mashushushu tokea upande wa pili?
Hii inasemekana ni kutokana na wanachama wa kawaida kudai kwamba hawana maridhiano na uongozi wao wa juu kuhusu makubaliano wanayoyafanya na viongozi wenza wa UKAWA.wanadai makubaliano ya mgawo wa viti vya uwakilishi wa wabunge na madiwani hauko sawia!
Awali langu kwa WanaCUF;
Je, kuwepo kwenu UKAWA kwa sasa na mkafikia makubaliano yenu faida na hasara ni zipi kulinganisha na miaka ya nyuma hasa?
Je,Mnaburuzwa vipi na CHADEMA kama utaratibu ulikua ni kuangalia ushindi wa 2010 pamoja na kukubalika kwa chama mahali husika?
Je, hamuoni kuendelea kutilia shaka viongozi wenu wa juu kuhusu majadiliano yao na viongozi wenza wa UKAWA mnawapa mwanya maadui wa mabadiliko kupenya?
Je, Hamshtuki kwamba ndani ya chama chenu kuna watu ndumilakuwili na tayari ni mashushushu tokea upande wa pili?