Watu wanasema kahamia kwao Dodoma kujiunga na nduguze kuomba mitaa ya bunge na kulala stendi ya basi huku wakifanya mapenzi mchana kweupe tena mbele ya watoto zao. Nilimuona Ebitoke kalala kwenye box huku akiota ndoto na kusema kwa sauti kubwa kuwa Ben Pol turudi Bongo.