Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,254 Aug 4, 2018 #1 *HAKUNA SWALI AMBALO SILIPENDI KAMA PALE KINYOZI WA SALON ANAPO KUULIZA "VIPI MASHINE INAUMIZA"*
Elvis Legacy JF-Expert Member Joined Aug 10, 2017 Posts 4,405 Reaction score 6,631 Aug 4, 2018 #2 Nenda na mashine yako mwenyewe ambayo hai umizi mkuu.
sele man JF-Expert Member Joined Jul 25, 2013 Posts 222 Reaction score 88 Aug 4, 2018 #3 Swali limekaa kimama sana hilo silipendagi binafsi
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,944 Reaction score 43,358 Aug 4, 2018 #4 Aiseee
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 43,909 Reaction score 104,021 Aug 4, 2018 #5 kinyozi wakike o wakiume ?
mandela1 JF-Expert Member Joined Dec 17, 2013 Posts 837 Reaction score 602 Aug 5, 2018 #6 Waje wenye saloon zao
skankad one Member Joined Nov 11, 2015 Posts 74 Reaction score 53 Aug 6, 2018 #7 Write your reply...Ubaya Wake Upo Wapi Wakati Mnyolewaji Ni Ww Na Atakayeumia Ni Ww
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,512 Aug 7, 2018 #8 huwezo kuniuliza hivyo mimi
Two dimension array JF-Expert Member Joined Jul 25, 2018 Posts 1,592 Reaction score 2,381 Aug 7, 2018 #9 Utata upo kwenye " machine"
Magwangala JF-Expert Member Joined Oct 4, 2011 Posts 2,981 Reaction score 2,359 Aug 8, 2018 #11 Ukiniuliza mimi swali hilo lazima nipigane
Itovanilo JF-Expert Member Joined Jul 30, 2018 Posts 2,310 Reaction score 5,157 Aug 10, 2018 #12 Ulitaka aulize vipi kwa mfano
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,758 Reaction score 39,494 Aug 10, 2018 #13 Yaani watu muda wote wanawaza ngono tu....kila jambo wanalinasibisha na ngono....