Swala la kutahiriwa kwa wanawake...mnasemaje?

Uislam si ukristo ndugu wa kukumbatia mashoga...!


Ni kweli usemayo..Uislamu si Ukristu. Lakini hakuna popote ilipowahi kusemwa mtume au nabii pedophile ..ONLY IN ISLAM..

Happy new year..
 
Last edited by a moderator:


[media]http://www.youtube.com/watch?v=qsqEyGdLh8I[/media]

Soma hapo juu utaelewa ni akina nani wanaendeleza unkindiest circumcision.

SASA SOMA HADITH KUTOKA KORAN ILI UELEWE VIZURI

Prophet Muhammad (P) is reported to have passed by a woman performing circumcision on a young girl. He instructed the woman by saying:
"Cut off the foreskin (outer fold of skin over the clitoris; the prepuce) but do not cut off deeply, for this is brighter for the face (of the girl) and more favorable with the husband." [8]

Islam should stop this unkindiest cut of all. This program or culture, as you can see and read, was started by the Late Prophet Muhammad of Islam to poor little female toddlers.


Ushaidi wa kimatendo, ni hiyo tube.

Mama amekiri kukatwa na kukata wanawe wote wa kike, na amekiri kuwa huo ndio Uislam.

 
Nimekuwa nafuatilia thread hii kwa makini sana.
Kuna mambo muhimu yanajitokeza kwa waandishi walio wengi.
Mosi ni kuhusushwa Kutahiriwa na Dini. Ni kweli kabisa dini za Kikristo na kiislam zinataja kutahiriwa. Kwa wayahudi huwezikuwa kamili kama bado hujafanyiwa tohara. the same nawaislam.
Lakini kuna watu ambao hata huo uislam na uyahudi hawauji lakini bado wanatahiri. Je walisoma msahafu au biblia ya nani? Hapa nachukulia mfano wa makabila ya wawindaji na wafungaji wa kiafrika. Hwajui huyo mungu wa Abrahamm wala wa mtume.

Kwa mantiki hiyo kutahiriwa ni tendo mojawapo la kustaarabika kwa mwanzo kabisa kwa mwanadamu. Sasa jinsi maendeleo ya kisayansi na kijamiii yanavyojikita miongoni mwa watu, tabia, tamaduni, jadi, sheria, imani huanza kubadilika ili kuruhusu mambo mengine yaendelee. wale ambao wanaendelea na jadi ama desturi za kizamani basi wanaonekana hawajaendelea. Je, leo hii Kikwete akifa atazikwa na wapambe wake? Hapana. Kwa sababu tumestaarabika hatuziki wakuu ama wafalme na watu wengine hai. Zamani adhabu ya kifo ilikuwa ni jambo la kawaida, lakini leo hii watu wanapigia kelele adahbu hiyo, mabadilko.
Zamani ilikuwa ni ajabu mmwanaume kuoa mwanamke kutoka mbali na jamii yake. Maana social movement was so limited. Wato walijuana tangu babu wa babu n.k
Leo hii mwingiliano wa jamii ni mkubwa sana. watu wa rangi mbalimbali, dini tofauti, makabila tofauti, tamaduni na jadi tofauti. Dunia imekuwa ni kijiji. SPEED imeharakisha kila kitu, kuanzia kusafiri, kuwasiliana, n.k.

Sasa basi binadamu ni mwepesi sana kuiga! Watakwimu watakuambia asilimia 100 ya wanawake wa makabila ya kichungaji na wawindaji kabla ya miaka ya 70s wote walikeketwa. Lakini watakwimu haohao waulize swali hilo leo hizo % zimeshuka. Na si wote wametii sheria bali mabadiliko ya kijamii.Elimu, mwingiano wa ndoa.

Siwalaumu wale wanaotahiri. Ila ninachokijua hasa kwa wanawake ipo siku itakuwa 0 % walio keketwa.
Ukuryani kijana atahiriwe ndiyo aoe. Lakini leo hiikijana huyohuyo anaweza kuingia mitini akaoa uhayani au usukumani ambako si lazima mwanaume atahiriwe.
Hivyo basi mimi kwa mtazamo wangu naona Elimu ndiyoyafaa. masheria mazitomazito hayawezi kufua dafu kwa IMANI ya watu. Ndiyo maana kuna suicidal bombers- Imani ya kwenda mbinguni na kukutana 7 virgins mtu anaamua kuvaa mkanda wa mabomu!! Mwe!
 

It is shame and sad, to see Muhammadans at JF are wantonly disregard and consciously refusing to accept the truth about their act of evil and defacto faith, while true Islamic womens like the ones of Egpty are still fighting for their life.

The time has come for each and every member of JF to stand against this Islamic evil act of female genital mutilations. What they did is more than enough.

Marehemu Muhamma Mtume wa Waislam yeye keshasema kuwa
:
"I am a Prophet of Allah but I do not know what will be my end." (Bukhari, Sahih Bukhari, Chapter "Al-Janaiz")

Hivyo basi, Waislam, kaeni mkao wa kukimbia siku ya Kihama. Marehemu Mtume wenu hajui Allah wake atamfanya nini siku hiyo. What am I trying to say is this. KAMA MAREHEMU MUHAMMAD HAJUI MWISHO WAKE, BASI NA WAFUASI WAKE HIVYO HIVYO. Wanakokwenda haijulikani, poleni sana.
 
Last edited:
kutahiri wanawake ni kosa. ni imani potofu. wengi waliamini kuwa, ukimtahiri mwanamke, anapunguza tamaa/hamu, hivyo hatakuwa malaya. asipokatwa, mme wake atakuwa hana uhakika kuwa hatembei na wanaume wengine kwasababu mme mmoja kwenye makabila haya yanayotahiri hawezi kumtosheleza mke wake, kwasababu ana wake wengi. chukulia masai,akiwa na wake watano, yeye ni mashine gani kuwatosheleza wote hawa hadi juu, yaani awatimizie hadi wachoke kabisaa hamu kwa wiki zima? utakuwa mke mwingine anaweza akasubiri kuingiliwa hadi mwezi mzima. na mme atakuwa na uhakika kuwa hatembei na wengine kwasababu alishampunguza harage liletalo utamu sana kwa wanawake. ikaendelea hivyo hadi kwa wale wenye mke mmoja, ikawa tradition ya kufuatwa.

makabila mengine kama wachagga baadhi, walikuwa wanatahiri ili kuondoa uchafu, labda kwasababu hawaogi mara kwa mara huko vijijini. mwanamke kama hajatahiriwa, na haogi mara kwa mara, lazima ataugua fugus, au kunuka kwasababu ya ubichi na yale maji meupe yanayotokaga kwao. utayaona kabla hajaoga. kiukweli ni kwamba, yale mashavu ya ndani, kama hauogi, lazima yatakeep ubichi huo, ndio maana makabila mengine yamekuwa yakifyeka harage pamoja na mashavu ya ndani, kinabaki kitu chekundu tu unakiona pale chenye kovu juu. wengine wamekuwa wakikata kuviringisha ile kiharage tu, wengine wanang'ofoa harage tu, n.k. yote hayo, yakiwa yamelenga kupunguza hamu na kuweka mazingira yawe masafi. wote tunajua hali ya kijijini, mtu anaweza kukaa wiki hajaoga, hasa zile sehemu za baridi.

lakini, wamesahau kuwa, mwanamke anayo haki ya kuwa na hamu, na kufurahia tendo la ndoa. asipofanya hivyo, anakuwa mwanamke nusu. akija kuolewa na yule wa mjini, mwanamke atakuwa anafanya zaidi ili kumridhisha mmewe, yeye hana hamu sana. ndo maana atakuuliza" mhuu, tayari umemaliza" hata hakuwa anaenda na wewe...hahaha. tendo linalotakiwa watu wote waende pamoja, kwasababu linahitaji hamu kuu ili na maji yaje kwa wingi, yasafirishe mbegu, na yazuie kuchubuana. ili wote mkimaliza, mlale usingizi mnono mkiwa mmesahau hadi machungu ya maisha, sio mme tu aone raha na kusahau machungu ya maisha wakati mke hajafurahia sana na ana machungu bado. you know happiness huwa inaondoa uchungu wa moyo....thanks. take care.
 
oh, nilisahau. pia, mwnaamke aliyekatwa, ni rahisi kuchanika kwenda juu wakati wa kujifungua. unajua wakati mwanamke anajifungua, wakati mwingine huwa anachanika, au kuongezewa njia kwa wembe kabisaa, kwa kwa chini. baada ya kujifungua anashonwa na umbile linakuwa vilevile. sasa yule aliyetahiriwa, wakati wa kujifungua anaweza akachanika kwenda juu kwenye lile kovu. na ujue huko ndo kwenye kibofu cha mkojo, na ni rahisi kupata fistula mnaijua fistula? kwanini ipo sana maeneo ya Dodoma na kondoa kwa warangi na wagogo? kwasababu wao ndo wanaongoza tz kutahiri wanawake, na wanapta sana fistula. mkojo unatoka bila kupenda mfululizo. makabila mengi yasiyotahiri wanawake, fistula hatuijui,na haipo. pia mwanamke kama huyo, anapunguza misuli itakayomsaidia kusukuma mtoto, itakayo control asimbane mtoto pale mlangoni. hivyo anaweza akamuua mtoto wakati wa kujifungua. pili ni disgrace, mwanamke haka huyo hata kama ni mzuri sana, anakuwa anaogopa kuwa approached, kwasababu hajui reaction ya mwamamme atakapokuja kujua kama ametahiriwa, kama atamwacha au la. hivyo ni kuumizana mioyo tu hapa. pia, mtu anaweza akatoka damu hadi akafa. ukimwi unaweza kuenezwa, kwasababu kisu au kiwembe kimoja kinaweza kutumiwa hichohicho kwa watu hata kumi. mimi nilishasema, sitakuja kuona mwanamke aliyekatwa. the critoris has its use, to women and by men.

vilevile, kama ulishawai kuona mwanamke alikuwa anatoboa sikio, basi linyama likaota kuubwa kwenye sikio, au mtu alikuwa anatoa kichunusi usoni, basi linyama likaota usoni likuubwa, nenda ocean road utawaona sana watu hawa. ni kutokana na maumbile yao yakionamwanya tu yanaota. vivyohivyo hata kwa wanawake baadhi, wakitahiriwa, linyama kama yale ya usoni au yale yanayoduna masikioni kutoboa sikio kukikukataa, yanaweza kuota sirini, na linyama kama hilo atakuwa anatembea nalo kila siku limeota kuharibu kabisa sura ya umbile lake zuri ambalo Mungu alimpa. wanawake wengi tu wanayo maumbile kama haya sehemu za Dodoma, Arusha, Mara na wazaramo wengine. kama madaktari wa magonjwa ya wanawake, wangekuwa wanaweka wazi magonjwa na matatizo ya wanawake, hata watu tusingelioa. ndio maana madaktari wengine hadi wanawaacha wake zao, au wanakuwa waleevi, ili kupunguza mauozo na matatizo wanayoyaona kwenye maumbile ya wanawake. ni mengi ajabu jamani.
 
Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi...!
 
Do we need to be regulated? are/should we be free to choose anything?
I know we can not go back, to the old ways. Why is it not ok for a small community which know each other not allowed to make its own rules, but it is ok for the govt, which does not know anybody make the same rule? And I know the end of evoulution is when all humankind is extinct! That is where we are going.
 
Hili ni suala nyeti! Kwa vile lipo basi ni busara lijadiliwe.

Tohara kwa wanawake ilifanywa na makabila ya wafugaji na wawindaji wa kale. Lengo lilikuwa kudhibiti ashki ya muwasho wa kimapenzi ili wasije ipata wakati waume zao ama wako malishoni ama mawindoni.
Enzi hizo kila mwanamke wa makabila hayo alijisikia sifa na heshima kubwa kutahiriwa na asiyetahiriwa alionekana ni mchafu na asiyefaa.

Tohara yenyewe ilitofautiana kati ya kabila na kabila, ila ilihusisha kukatwa kwa clitoris ya mwanamke ambayo ndio the most sensetive part ya female genitalia.

Kutokana na kukatwa sehemu hiyo mapema kabla haijapata mihemuko, sexual sensetivity ta wanawake waliotahiriwa inahamia ndani ya vigina yenyewe na huweza kuamshwa kwa tendo halisi la ndoa na sio kwa kushikwa shikwa tuu kama wasiotahiriwa.

Kimsingi lengo la zamani lilikuwa na nia njema, kwa sasa wakati huo umepita. Hakuna tena wafugaji wanaokaa msimu mzima na malisho ama wawindaji wanaoshinda maporini mwaka mzima.

Kutokana na malengo yaliyohitaji tohara kwa sasa yamepungua ama kutokuwepo kabisa, hakuna sababu ya kuendelea kwa tohara ambacho ni kitendo cha kikatili dhidi ya wanawake. Mkumbuke wanawake wanafanyiwa tohara kwa ajili ya wanaume, kama wanaume wanavyotahiriwa kwa ajili ya wanawake, vita dhidi ya tohara, iwalenge wanaume zaidi.

Ni kama vita dhidi ya biashara haramu ya ukahaba kamwe haiwezi kuisha mpaka atakaporudi Masiya kwa vile wanawake wanaonewa bure, wao wana bidhaa na wanunuzi wapo. Labda ifanywe kampeni ya kuwafanya wanunuzi wasusie bidhaa, wauzaji wakikosa wanunuzi bidhaa zitawadodea na biashara itaisha.


Tena afadhali ya tohara za wanawake wa makabila ya kibantu. Makabila ya Nilotic, yaliyoko Somalia, Sudan, Chadi na Mali, wanawake hao walikatwa kisimi na kushonwa huku wakiachia kitundu kidogo tuu cha kupitishia haja ndogo na hedhi mpaka ukishapata mchumba ndipo njia ifunguliwe tena kwa kisu/wembe. Inakuwa ni mateso mara mbili.

Hapa Tanzania japo tunapiga kelele sana kuhusu mila hii potofu, baadhi kama Wachagga wameiacha kabisa tangu waanze kulima kahawa. Japo wachache wanaiendeleza kwa siri, hawa ni wale ambao wameolewa kijijini, mama anaishi kijijini kazi kukatia ng'ombe majani, na baba anaishi mjini Dasalama, kurudi kijijini
Ni krismasi hadi krismasi. Lakini Wamasai huwaambii kitu. Tena
Wambulu, Wairaqui na Wabarbeig ni sehemu ya maisha yao.
Wanawakata watoto wakike wakishazaiwa tuu ni kukata kitovu na tohara hapo hapo.Msichana anakua wala hajui kuhusu tohara wakiamini wao wamezaliwa hivyo hivyo walivyo.

Madhara ya tohara ni makubwa kuliko hayo ya wanawake wenyewe. Kutokana na mila za tohara, wanaume wa makabila hayo hawajui mapenzi, kwao sex ni kwa ajili ya kutengeneza watoto tuu na sio starehe.

Ndio maana hata leo wanawake wa Kichagga waliokulia kijijini, wanakabiliwa na sexual inhibitions kiasi kwa wengi hata orgasm, hawaijui maisha yao yote. One good thing is,'you can never miss things you have never known'.

Mpaka leo Mmasai humwambii kitu kuhusu tohara. Fanya utafiti utagundua wapinga tohara ni makabila mengine tuu, wamasai wao wamejinyamazia kimyaa. Leo hebu mshauri Edward Lowasa asimame jukwaani awahimize Wamasai waache tohara, mbona atatafuta pa kutokea.

Utafiti wangu ambao sio scientific umegundua baadhi ya wanawake wa makabila ya tohara ambao hawatahiriwa ukigusa tuu, unapata wa urahisi kama mteremko!. Na hawa ndio wengi huwa viruka njia hata katika ndoa zao.

Kama wewe ukifanya sex raha yako ni pamoja na mwenzako kufika, ukipata aliyefanyiwa toara kumfikisha ni ishue unaweza kuishia frustration kwako kushindwa kumridhisha mwenzio kumbe yeye anatoshekea- hapo hapo unapoishia wewe.

Kwa maoni yangu, namna bora zaidi ya kupiga vita ukeketaji ni kuruhusu yale makabila wanaoendeleza tohara, kuifanyia mahospitalini na vituo vya afya chini ya uangalizi wa madaktari ili kuzuia madhara ya matumizi ya vifaa duni na huduma duni zinazochangia vifo vya wakeketwaaji na matatizo wakati wa uzazi.
Hii itaondoa usiri na ndipo kampeni za uelimishaji zifanyike na hatimaye ukeketaji utatokomezwa kabisa.

Kuruhusu ukeketaji kufanyikia hospitali ni mfano hai kwa nchi zilizoruhusu utoaji mimba kisheria na kufanyikia hospitali, kumepunguza sana vifo vya kinamama na idadi ya watoto wa mitaani. Amini usiamini, kila mtoto mmoja anayetupwa kwenye mfuko wa rambo, kuna watoto wengine 9 wametumbukizwa kwenye mashimo ya vyoo vya shimo, ama kutupwa maporini na kuliwa na mbwa maana hadi mfupa wake unatafunika!.

Nchi ya Uswisi imeruhusu matumizi ya madawa yoyote ya kulevya kwa kutenga eneo maalum kwa matumizi hayo. Hili ni eneo la uwanja mkubwa wa wazi mbele ya jengo la bunge la nchi hiyo maarufu kama The Bundes House. Hapa wavuta bangi, wavuta cocaine na wanajidunga heroin wamewekewa manesi wa kuwadunga kwa sindano mpya kila mtu na yake. Wakati huo huo tahudumu wa taasisi za kuzuia matumizi ya madawa hayo zikitoa uelimishaji hatimaye wamefikia kiwango cha watumiaji wanakuja uwanjani hapo kujivutia tuu bangi na kutumia madawa hayo kwa raha zao katika viwango vinavyokubalika. Mpaka sasa madawa yoyote ya kulevya hayana dili Uswisi na badala yake ni dili kubwa Marekani na Uingereza ambako ni marufuku na ni Bonge la dili China na Uarabuni ambako ukishikwa nayo ni kunyoongwa tena bila kutoa taarifa wewe ni raia wa nchi gani.
Tupige vita ukeketaji kwa kuwaelimisha wakeketaji kukubali kuwa ukeketaji ni ukatili dhidi ya wanawake na ndipo wataacha kukeketa, na kuwaelimisha wanaume wao kwamba watafaidi zaidi wanawake wasiokeketwa ili wasiendelee kutafuta wanawake walio keketwa ndipo mila hii itatoweka kabisa na baadhi ya NGO zitafungwa na kutafuta namna nyingine ya ulaji.


Big Up Pasco!

Bonge ya utafiti, kila kitu ni hapa hapa Jf. Utakipata tu.
 
1.FGM au FGC ni taratibu ambazo kwa miaka ya siku hizi hazina manufaa bali madhara zaidi.Kwamba ni njia muafaka ya kudhibiti nyendo za wanawake inaweza isiwe kweli.Miaka ya nyuma, hata wazungu walijitahidi kudhibiti si kwa kuwafanyia wanawake ukeketaji bali kwa kuwavalisha " chastity belt" ya chuma ambapo wakishavalishwa mwanaume aliondoka na kufuli ili akirudi afungue mwenyewe!Mbona waliweza kuondokana na utaratibu huu?

2.Tunaweza tukawa na sheria kama SOSPA 1998, na bado isifanye kazi maana hata sasa wakunga wanapozalisha huwafanyia ukeketaji watoto wachanga ambao hawaelewi kitu.Jamii yenyewe na hasa wanaume wanaweza kusaidia kuondoa hii mila kwa ufanisi zaidi kuliko sheria na kelele za wanaharakati.Kuna wanawake ambao hujipeleka wenyewe kukeketwa hata pale ambapo wazazi wao hawakuwakeketa kisa ati hawataolewa kwa vile wanaume wa makabila yao hawatataka asiyekeketwa! Cha ajabu zaidi, wanaume hao huoa waliokeketwa lakini hapo hapo hufukuzia wanawake ambao hawajakeketwa! Unafiki ulioje?!
3. Kuna suala la kiuchumi pia ambapo mangariba hunufaika kwa kupata kipato.Hawa nao wana mchango mkubwa sana katika kuendeleza hii mila.Inabidi wapate njia mbadala ya kuingiza kipato.
4.Kuna hofu inayowekwa kwa kudanganya wanawake kuwa ukeketaji ni agizo la kidini.Nchi kama Gambia na Senegal zenye waislamu wengi, kumekuwa na hoja kuwa wanawake wanaokataa kukeketwa wanakiuka maagizo ya dini.Na sote tunaelewa hii ina maana gani kwa mtu mwenye imani kali kwa dini yake.Kama si agizo la kidini, basi inabidi kuwepo na jitihada za ziada kuelemisha umma kwa ujumla wake ili watu waelewe kuwa si agizo la kidini.

WoS asante kwa mchango mzuri.


1.Hivi kungekuwa na agizo la kidini kwamba kila inapotokewa mtu akazaa watoto, first born atolewe sadaka kwa kutupwa mtoni,ziwani au baharini watu wangetekeleza? Si kwamba wangehama dhehebu lao. Zipo imani za jamii za watu zinaegeshwa kwenye maagizo ya kidini ili mradi sehemu ya jamii hiyo ndiyo inayonufaika huku sehemu nyigine ( na hasa wanawake) ikiteseka.

2.Bahati mbaya, wanawake wamekandamizwa na kutekwa kimawazo kiasi na wao kuamini kwamba ni matakwa halali ya jamii husika/kabila au kidini!!

3. Waelimishaji wana kazi ya ziada, itachukua muda.

4. Utatuzi wa kudumu ni kuipa elimu jamii nzima na hasa kuwapa elimu watoto wa kike bila kusahau viongozi wa madhehebu husika. Wakati mwingine tatizo linakuwa kwa viongozi wa dini na si dini yenyewe.
 

Huyu jamaa lazina ni Gundi ya kiarabu. Mwenyezi Mungu anadawa maradhi!? Duh, kuna watu wanaitaji msaada.

Watu hawa ni kama viziwi, kwani wamepoteza manufaa ya kusikia; hawaisikii Haki kwa msikio wa kuikubali na kuitikia. Nao ni kama bubu, kwa sababu hawatamki la uwongofu au la Haki. Na wao kama vipofu, kwani hawanufaiki kwa macho yao. Hawazingatii na kujikataza. Basi hao hawaachi upotovu wao
 
Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi...!


X P umenena ukweli kabisa kuwa nyoyoni mwenu mna maradhi mabaya, kiasi cha kuwafanya vibaya hawa wasichana bila ya idhini kutoka kwao.

Hilo la Mwenyezi Mungu kutoa maradhi, mimi hilo silijuwi. Mungu ninaye muamini na kumjuwa mimi, hagawi maradhi bali anaponya maradhi. Natagemea hapa unazungumzia ALLAH na si Mungu Muumba Mbingu na Nchi?
 

Women have the right to undergo female circumcision (FGM)
Sunaan Abu Dawud – 41.5251

XP lete ilmu tusome.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom