Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,137
- 4,322
Wanajamii kuna hii kampuni Swala Energy imetangaza kuuza hisa zake katika soko la hisa la Dar es Salaam (DSE). Nimefanikiwa kusoma prospectus yake inaonekana kuna potentials za kiuwekezaji katika sekta ya mafuta na gesi kwa wazawa japo risks pia ni kubwa.
Wito wangu kwenu ni kuijadili hii kampuni nje ndani ili tujue usalama wa hisa zetu na risks associated. Karibuni sana.
Wito wangu kwenu ni kuijadili hii kampuni nje ndani ili tujue usalama wa hisa zetu na risks associated. Karibuni sana.