Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Imekuwa kawaida yetu kutumia english kuonesha tunavyoielewa lugha hiyo vizuri.Tatizo ni kwamba tunatumia baadhi tu ya maneno ilhali mengine hatujaribu kuyatumia kamwe.Wakuu naomba mnisaidie kuibadili sentensi hii ya kiswahili iwe ya kiingereza;'WEWE NI MTOTO WA NGAPI KWENU?'