Swahibas

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,146
13,216
57322_1607828328603_1623049992_1382540_5161592_o.jpg

Jamaa wametoka mbal eh!!.....
 
hahaha, ndio maana mwandosya haachani naye hata kama waligombania kidogo urais kipindi kile.
 
Kikwete utalii haajaanza leo, naona kamtwisha Mwandosya kamera ili awe anampiga mapicha.
Kikwete yuko busy na kuangalia mandhari, Mwandosya yeye ni KUSOMA tu muda wote.
Hiyo ndiyo tofauti ya msanii na profesa wa ukweli
 
Back
Top Bottom