swaga za polisi akitongoza

swaga za polisi akitongoza

Luthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
519
Reaction score
105
SWAGA ZA POLISI AKITONGOZA:
Unajua Darling nakuthamini zaidi ya POSHO na MSHAHARA,
bila wewe siwezi kuishi, ni sawa na kukosa BUNDUKI eneo la tukio,
Nitakueshimu kama LINDO,
wewe ni IGP wa moyo wangu daima.
Mbona kimya? Nijibu basi nipate kufungua JALADA ndani ya moyo wako.
Usinifanye moyo ukanienda mbio kama DEFENDER MPYA,
Nitakuwekea usalama kama msafara wa RAIS,
Nina RB ya penzi lako mpenzi wangu,
usiniweke roho juu km maandamano ya CHADEMA!
 
hahahhaha! mkuu we noma. ongezea na hii....mtoto unang'aa kama buti la jeshi.
 
kama ulikuwepo huyo ndoafande nyamandegere kwa mtoto wa ki tanga
 
Nitakuweka ndani ya rimoyo rangu kuliko hata risilaha rangu mamakoku
 
mimi bila penzi lako ni sawa na bunduki bila risasi. Maafande ni nomaa aisee. Nimefurahi sana na jumapili yangu inazidi kuwa nzuri kabisa
 
SWAGA ZA POLISI AKITONGOZA:
Unajua Darling nakuthamini zaidi ya POSHO na MSHAHARA,
bila wewe siwezi kuishi, ni sawa na kukosa BUNDUKI eneo la tukio,
Nitakueshimu kama LINDO,
wewe ni IGP wa moyo wangu daima.
Mbona kimya? Nijibu basi nipate kufungua JALADA ndani ya moyo wako.
Usinifanye moyo ukanienda mbio kama DEFENDER MPYA,
Nitakuwekea usalama kama msafara wa RAIS,
Nina RB ya penzi lako mpenzi wangu,
usiniweke roho juu km maandamano ya CHADEMA!

hiyo imekaa vizuri
 
Atakosa papuchi kwa style hii kweli?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hahahha lazima apate hahaha mapenz dot com

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom