Mlachake JF-Expert Member Oct 13, 2009 4,412 4,559 Apr 27, 2012 #1 Maisha Bora kwa kila waziri, Bora Maisha kwa Kila Mtanzania. hii nimeisikia kwa jamii ya watu fulani huko mitaani. Imekaa ki Chichat but Ni siasa iliyojificha. Nafikiri sio upepo mzuri kwa serikali hii ya CCM.
Maisha Bora kwa kila waziri, Bora Maisha kwa Kila Mtanzania. hii nimeisikia kwa jamii ya watu fulani huko mitaani. Imekaa ki Chichat but Ni siasa iliyojificha. Nafikiri sio upepo mzuri kwa serikali hii ya CCM.