Suzuki carry inauzwa 5.8mill

Suzuki carry inauzwa 5.8mill

Picha zingine
 

Attachments

  • 1432068066463.jpg
    1432068066463.jpg
    55.6 KB · Views: 316
  • 1432068093575.jpg
    1432068093575.jpg
    58.6 KB · Views: 305
  • 1432068111460.jpg
    1432068111460.jpg
    56.8 KB · Views: 307
  • 1432068145940.jpg
    1432068145940.jpg
    43.9 KB · Views: 311
Jaman bei imepungua nashida ya hela 3.8 fixed nicheki 0712690760 tufanye biashars
 
Aiseee nahitaji sana ila sina hio amount kwa sasa. Vipi iko vizuri?
 
Watanzania sijui ni lini tutaondokana na ujinga!!hizi gari kwa kuagiza unapata kwa million tano hadi mkononi mwako,ikiwa na kilometre chache,hali nzuri,4wd,n.k sasa hii imetumika hadi imechoka alafu unaenda kununua kwa laki 5.8 kama sio ujinga ni nini??

Huyu mdau anauza gari, hivyo wewe unapaswa kuwasiliana naye kama unalipenda na una hela kama hauna na haulihitaji kaa kimya, mambo ya sijui kuagiza nje yanaingiaje hapa? kama unalijua hilo si uagize basi yaishe, mbona unapenda sana kujaza kurasa kwa mambo yasiyo na msingi?
 
Asant kaka ila wadau nashida ya hela nakimfahacho mtu chake ndiomana nauza jaman karibuni 3.8mill fixed
 
Huyu mdau anauza gari, hivyo wewe unapaswa kuwasiliana naye kama unalipenda na una hela kama hauna na haulihitaji kaa kimya, mambo ya sijui kuagiza nje yanaingiaje hapa? kama unalijua hilo si uagize basi yaishe, mbona unapenda sana kujaza kurasa kwa mambo yasiyo na msingi?

Si ndy hapo watu wengine wanaleta siasa Ktk biashara za watu.kama kuagiza yeye a aagiize tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom