Msaada kwenye tuta. Nataka kuagiza gari Suzuki Carry ya mwaka 1999. CIF ni USD 2146 mpaka Dar. Je natakiwa nijiandae kodi na malipo mengine kama bei gani? Vipi nikiwa naweza pata exemption? Msaada wenu utanisaidia kufanya maamuzi sahihi. Nimeshindwa kabisaa kutumia kikokotoo cha TRA, Tafadhari. Natanguliza shukrani.