Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,057
- 18,406
Nyimbo mpya katoa Jana, kaporomoka kasingizia serikali eeeeh ahmada eeeh.wamemchoka DJ hana nyimbo mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyimbo mpya katoa Jana, kaporomoka kasingizia serikali eeeeh ahmada eeeh.wamemchoka DJ hana nyimbo mpya
Wenye akil au wenye tamaa na mapunga maana mwanaume wa kweli huwezi muona anakimbia chadema kwa hoja za lijualikali.Chombo kinazama wewe unajifariji tu. Jipange. Wenzako wenye akili wameshashituka wameruka na sasa wapo nchi kavu huku wakishudia mnavyo tapatapa...
Acha tu waende Chadema ina wanachama wengi wenye uwezo
Atagombea mwingine kwenye hilo jimbo na atashinda
Povu ruksa. Michadema ndivyo mlivyo. Mna macho lakini hamuoni, mna masikio lakini hamsikii. Ahamada kawaloga mmekuwa mazezeta.Ujinga mzigo!!
Huyu mama amekuwa mzigo sio kwa CDM tu hata CCM na familia yake. Hakuna mtu anayemzungumzia huko
jimboni kwake Mlimba.
Mleta mada acha upumbavu!! Barabara kutoka ifakara to Mlimba haipitiki mashimo kama handaki. Mwezi wa 4 na 5 kuna sehemu inaitwa kisegese mto ulikata barabara. Hiyo serikali yako sikivu imejibu hoja ya kukarabati miguu yako!!
Acha ujinga!
Soma hii " Zaidi ya yote ameishiwa hoja kwa kuwa sehemu kubwa ya yale alokuwa akilalamikia serikali sikivu ya CCM chini ya uongozi shupavu wa Rais Magufuli umeyafanyia kazi". Hapa umeandika Kiushaabiki zaidi... Basi utateuliwa awamu ijayo ambayo kushinda CCM ni bahati..Wakuu hii tetesi ni ya moto moto kabisa. Mchana huu nimepata fununu kutoka kwa mtu wa karibu wa Mbunge wa Jimbo la Mlimba,wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro, Suzan Kiwanga. Tetesi ni kwamba Mama huyo machachari amekata tamaa na hana pa kushika.
CHADEMA Wilayani Kilombero imeparaganyika na hivyo hana sapoti kabisa. Zaidi ya yote ameishiwa hoja kwa kuwa sehemu kubwa ya yale alokuwa akilalamikia serikali sikivu ya CCM chini ya uongozi shupavu wa Rais Magufuli umeyafanyia kazi.
Mama Kiwanga yu njiani kujiunga na CCM.
Tetesi hizi ni kwa mujibu wa mtu wa karibu sana wa mbunge huyo.
Huyu ndy harudi tenaUjinga mzigo!!
Huyu mama amekuwa mzigo sio kwa CDM tu hata CCM na familia yake. Hakuna mtu anayemzungumzia huko
jimboni kwake Mlimba.
Mleta mada acha upumbavu!! Barabara kutoka ifakara to Mlimba haipitiki mashimo kama handaki. Mwezi wa 4 na 5 kuna sehemu inaitwa kisegese mto ulikata barabara. Hiyo serikali yako sikivu imejibu hoja ya kukarabati miguu yako!!
Acha ujinga!
Ahmada amelewaaaa
Huu utakuwa ni muendelezo tuu wa kujitambua, naomba kuendelea kuwasisitizia ChademaWakuu hii tetesi ni ya moto moto kabisa. Mchana huu nimepata fununu kutoka kwa mtu wa karibu wa Mbunge wa Jimbo la Mlimba,wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro, Suzan Kiwanga yu njiani kujiunga na CCM.
Wanakimbilia kule kwa mtaalamu wa kiingereza a.k.a Ras Simba?
sawa akienda kwani kuna wengine walikuwa wakihitaji hiyo nafasi yake ndani ya chama,chadema inavijana wengi tena graduateWakuu hii tetesi ni ya moto moto kabisa. Mchana huu nimepata fununu kutoka kwa mtu wa karibu wa Mbunge wa Jimbo la Mlimba,wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro, Suzan Kiwanga. Tetesi ni kwamba Mama huyo machachari amekata tamaa na hana pa kushika.
CHADEMA Wilayani Kilombero imeparaganyika na hivyo hana sapoti kabisa. Zaidi ya yote ameishiwa hoja kwa kuwa sehemu kubwa ya yale alokuwa akilalamikia serikali sikivu ya CCM chini ya uongozi shupavu wa Rais Magufuli umeyafanyia kazi.
Mama Kiwanga yu njiani kujiunga na CCM.
Tetesi hizi ni kwa mujibu wa mtu wa karibu sana wa mbunge huyo.
Graduate vijana kibao tena wenye uwezo wa kujenga hoja nzito ngazi zote na Udiwani na Ubunge.Acha tu waende Chadema ina wanachama wengi wenye uwezo
Atagombea mwingine kwenye hilo jimbo na atashinda
😀😀😀😀 chezea Faru John weweNyimbo mpya katoa Jana, kaporomoka kasingizia serikali eeeeh ahmada eeeh.
Sent using Jamii Forums mobile app