GE2025 Susan Kiwanga kugombea tena Ubunge kupitia CHAUMMA

GE2025 Susan Kiwanga kugombea tena Ubunge kupitia CHAUMMA

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,604
1753266497295.png

Aliyekuwa Mbunge wa Mlimba 2015-2020 kupitia Chadema, Susan Kiwanga ambaye sasa ni mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) amechukua fomu kuomba ridhaa ya chama chake kipya kuwania ubunge wa Mlimba katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kiwanga amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumatano, Julai 23, 2025, Ifakara Mjini na Naibu Katibu Mkuu wa Chaumma-Bara, Benson Kigaila.

Kiwanga amechukua fomu hiyo sambamba na wanachama wengine wa CHAUMMA wanaotia nia kugombea nafasi mbalimbali za udiwani na ubunge katika majimbo ya Ulanga na Kilombero, wakati wa kikao cha ndani cha chama hicho kilichoongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa CHAUMMA, Benson Kigaila.
 

Aliyekuwa Mbunge wa Mlimba 2015-2020 kupitia Chadema, Susan Kiwanga ambaye sasa ni mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) amechukua fomu kuomba ridhaa ya chama chake kipya kuwania ubunge wa Mlimba katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kiwanga amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumatano, Julai 23, 2025, Ifakara Mjini na Naibu Katibu Mkuu wa Chaumma-Bara, Benson Kigaila.

Kiwanga amechukua fomu hiyo sambamba na wanachama wengine wa CHAUMMA wanaotia nia kugombea nafasi mbalimbali za udiwani na ubunge katika majimbo ya Ulanga na Kilombero, wakati wa kikao cha ndani cha chama hicho kilichoongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa CHAUMMA, Benson Kigaila.
suzan, unapoteza muda, labda wakupe bure maana na nyinyi ni ccm
 
Huyu amepita, hakuna mshindani kwa wana Mlimba, Suzan Kiwanga mi-5 tena

Waliosusa na waendelee kuimba NRNE, ila sisi tunatiki Oktoba
 
Huyu alienguliwa mwaka 2020 na NEC wakati ndio alikuwa Mbunge wa Mlimba. Nashangaa mwaka huu anatetea kushiriki uchaguzi na kusahau alichofanyiwa mwaka 2020.
 
Back
Top Bottom